Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Watu wameanza kulalamika leo? Mbona wakati wa Magufuli ndiyo ilikuwa ni kilele cha malalamiko? Makonda kaanza kusikiliza malalamiko leo? Huoni kuwa sisi matapeli tunaendelea kudunda huku ninyi wajinga mkipigwa ''mental masterbation''?
Mkuu kulalamika inakuja Kama last resort. Kama haki yako inaminywa na umefuata all due process. Wananchi wengi wanakimbilia kwa Makonda kwasababu haki zao zinaminywa.
 
Mkuu ndiyo maana nikauliza ''kulalamika kunasaidiaje? Yaani umekiri kabisa kuwa alikosa msaada japo alisikilizwa! Kwani Tanzania ni Magufuli ndiyo tuseme kwa sababu alifariki basi kila kitu kilisimama?

Nadhani jamaa alijiua baada ya msingi wa mawazo. Maana wamekaa vikao na Waziri Mkuu zaidi ya kimoja na hakuna hatua zilizochukuliwa. Nadhani kulalamika kwake kujifanya taifa lijue kinachoendelea na kuweka record straight.
 
Pamoja kwamba Mimi ni mfuasi wa CHADEMA na mwanachama wa CHADEMA, ila Kuna jambo moja linanifanya nimuunge mkono Makonda. Kusikiliza kero za wananchi ambazo serikali imeshindwa kuzishughulikia.

Mimi simkubali CCM na Wala simkubali Makonda kwa sababu nyingi tu, ila nakubali kwa hichi alichokifanya. Hata Mimi ningepata nafasi ningeenda kupeleka malalamiko yangu.

Kuna jambo tumelipigania sana. Kiasi cha kufikia kwa polisi. Lakini inaonekana polisi wanamuogopa muhusika. Tumepeleka malalamiko na ushahidi Hadi ofisi ya Waziri lakini hakuna hatua iliyochukuliwa. Wapelelezi wa serikali wamefika sehemu wanakimbia njiani na kuacha mtuhumiwa akijigamba.

Nimeleta ushahidi hapa JF kuhusu tapeli moja anajiita Generali Mwamwega, kwa jina sahihi Macegeron Rweyemamu. Huyu ni tapeli mkubwa analiza watu kupitia kampuni ya One 2 One Focus Limited. Kupitia hiyo kampuni ameitumia kuwahujumu watanzania wengi kiasi Cha wengine kufilisika.

Niliuleta ushahidi hapa JF ukafutwa, tumepeleka ushahidi polisi wamekimbia nao, tumehusisha ofisi za serikali ila wanadai wanamuogopa huyo tapeli.

Inapofikia serikali inamuogopa raia mmoja na hata kumuacha atumie majina ya Viongozi kuibia wananchi unategemea nini?. Kama polisi wanamuogopa tapeli na kuacha kumkamata au kumchunguza raia waendelee wapi?

Generali Mwamwega hagusiki, anatumia cheo Cha jeshi wakati sio mwanajeshi na hakuna Mtu anayemkamata au kumuonya. Anatumia jina la Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi kuibia watu na hakuna anayemkamata au kumuonya. Na emefikia hatua anatumia jina la Waziri Mkuu ila hakuna anayemkamata au kumuonya.

Hivyo basi inapofikia hatua serikali kupitia vyombo vyake vya ulinzi vinamuogopa Generali Mwamwega ambaye wala sio Mwanajeshi aendelee kuumiza raia, basi anachokifaanya Makonda kuita raia na kuwasililiza kero zao nakiunga mkono maana kinaweka hadharani uchafu wa serikali na vyombo vya Dola ambavyo vipo kulinda raia lakini vimegekua kulinda wahalifu.

Kwa nilioyaona kwa Generali Mwamwega na jinsi serikali ilivyomkingia kifua nadhani wananchi wapewe platform ya kuongea haya mambo hadharani Tena live kwenye TV ili uchafu wa vyombo vya Dola uwekwe wazi na wahusika wajue kumbe wanafahamika.

Wakuu wamikoa wengine igeni mfano wa Makonda maana wananchi wa kawaida wananyanyaswa sana na vombo vya Dola vikishirikiana na wahalifu akama akina Generali Mwamwega au kwa jina halisi Osward Macegeron Rweyeyemamu.
Serikali inaruhusu wahujumu na matapeli nchini na wale mikopo kaush damu kama Platinum,Bayport n.k!

Eti ni sehem ya intelligence ya kuwatawala watz waendelee kuwa chini kiuchumi!!

Huyo unaemwita tapeli ni sehemu ya mpango kazi wa kitapeli kama Deci vile!!

Unakuta ni mtu ambae system inamtambua kabia na yupo Kwa malengo maalum!

Ukiona mtu mwovu hachukuliwi hatua ujue ni sehemu ya system tu ndivyo ilivyo!!

Hii nchi Kuna vitu vya ajabu sana vinaruhusiwa kwa sababu maalum!!

Unafikiri kwanini Rama was kariakoo alijipiga risasi Kwa kutapeliwa fedha !!?

We achana nae huyo jamaa!!kama hachukuliwi hatua ni dhahiri shahiri analindwa na mfumo kabisa!!

Hats hizi deals zinazopigwa plus wizi vinalindwa na na system kwa ujumla!kama havilindwi kwanini vipo!!?

Ndivyo ilivyo!
 
Unadhani Makonda atakomaa na hilo jambo la huyo tapeli mpaka lini??
Mkuu anachofanya Makonda ni kujipa umaarufu kwa vitu vidogo ambaya sio rahisi yeye kuvimalizia.

Atawajaza kwa maneno makali kuzikoromea hizo mamlaka zilizowapuuza, huyo tapeli ataswekwa ndani kwa siku moja, baada ya hapo inabidi mrudie hatua zilezile mlizofeli mwanzo.
Na mpaka hapo Makonda hamtompata tena ili awadaidie tena.
Mkuu nakubali unachosema. Ila kwa Sasa tupo desperate hivyo ni Bora atakaye tusaidia hata robo au nusu kuliko ambaye hawezi kutusaidia.
 
Kuandamana napo ni njia moja wapo ya kulalamika live. Kama njia zote unafata na bado hakuna muhafaka ni hatua gani zaidi? Kumloga au kumpiga lisasi
Mambo yakiendelea hivi usishangae anapigwa risasi na raia. Maana ameliweka jeshi la polisi mfukoni.
 
Serikali inaruhusu wahujumu na matapeli nchini na wale mikopo kaush damu kama Platinum,Bayport n.k!

Eti ni sehem ya intelligence ya kuwatawala watz waendelee kuwa chini kiuchumi!!

Huyo unaemwita tapeli ni sehemu ya mpango kazi wa kitapeli kama Deci vile!!

Unakuta ni mtu ambae system inamtambua kabia na yupo Kwa malengo maalum!

Ukiona mtu mwovu hachukuliwi hatua ujue ni sehemu ya system tu ndivyo ilivyo!!

Hii nchi Kuna vitu vya ajabu sana vinaruhusiwa kwa sababu maalum!!

Unafikiri kwanini Rama was kariakoo alijipiga risasi Kwa kutapeliwa fedha !!?

We achana nae huyo jamaa!!kama hachukuliwi hatua ni dhahiri shahiri analindwa na mfumo kabisa!!

Hats hizi deals zinazopigwa plus wizi vinalindwa na na system kwa ujumla!kama havilindwi kwanini vipo!!?

Ndivyo ilivyo!
Nashukuru mkuu imenifumbua macho. Umeongea mambo ya msingi Sana.
 
Ipo siku mtanielewa vyema napomuona na kuwaambini kuwa Mwamba Mwenyewe Makonda kama kiongozi Mwenye uchungu na maisha ya watu wanaonewa na kunyanyaswa. Ipo siku mtafahamu kuwa Mwamba Makonda anapigwa vita na kushambuliwa na kuchafuliwa na watenda maovu ,wezi,matapeli,wauza madawa ya kulevya ,madhulumati na ambao matumbo yao yamejaza chakula cha dhuluma. Makonda amejitoa na kujitolea kuhatarisha maisha yake kwa ajili ya kusaidia na kuhakikisha watu wanapata haki zao.

Nitaendelea kumsemea na kutetea Mwamba Makonda hata nikiitwa chawa na kutukanwa matusi yote. Lazima mfahamu hatari kubwa iliyopo kwa mtu kupambana na wenye pesa au mamlaka au vyeo vikubwa wanaotumia nafasi zao kuonea watu na kuwakandamiza. Lakini Mwamba Makonda ameamua kutoa na kuhatarisha maisha yake kwa ajili ya kuwapambania wanyonge. Halafu anatokea mlevi mmoja na mabango yake kichwani anaropoka mitandaoni au hadharani eti kuwa ni maigizo.hii yote ni kutaka kumkatisha tamaa Mwamba Mwenyewe Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara.
 
''lisasi'' ni nini jombi! Lakini hapa wanazungumzia kulalamika!
Jombi ni nini kiongozi? Uwe Unatoa japo idea basi nini kifanyike unaweza kua na idea nzuri za kumsaidia mtu. Usiwe mtu wa kupinga tu bila kuja na wazo la mtu kumsaidia mwenyetatizo.
 
Mkuu econonist hii mada yako umeniwahi Tu kuandika aisee ila haya mawazo yako yalikuwepo kichwani mwangu hasa juu ya makonda huyu jamaa hata kama tunamkataa na kumkebehi Ila anachofanya yupo Sahihi kabisaa.
Sisi Tanzania huwa hatujui nini tunataka huyu makonda angekaa ofisini Tu tungelaumu kwanini hafanyi kazi lkn sasa anonekana yupo field anaoneka anaigiza yaani kwakifupi watanzania ni wajinga sana

Japokuwa CCM naichukia Ila makonda namkubali Sana siasa zake na ninamuunga mkono kwenye uongozi wake, makonda kama anasema hizi mada zetu naomba asirudi nyuma kwenye harakati zake za kusaidia watanzania wa Hali ya chini

MUNGU akutangulie Paul makonda
 
Ipo siku mtanielewa vyema napomuona na kuwaambini kuwa Mwamba Mwenyewe Makonda kama kiongozi Mwenye uchungu na maisha ya watu wanaonewa na kunyanyaswa. Ipo siku mtafahamu kuwa Mwamba Makonda anapigwa vita na kushambuliwa na kuchafuliwa na watenda maovu ,wezi,matapeli,wauza madawa ya kulevya ,madhulumati na ambao matumbo yao yamejaza chakula cha dhuluma. Makonda amejitoa na kujitolea kuhatarisha maisha yake kwa ajili ya kusaidia na kuhakikisha watu wanapata haki zao.

Nitaendelea kumsemea na kutetea Mwamba Makonda hata nikiitwa chawa na kutukanwa matusi yote. Lazima mfahamu hatari kubwa iliyopo kwa mtu kupambana na wenye pesa au mamlaka au vyeo vikubwa wanaotumia nafasi zao kuonea watu na kuwakandamiza. Lakini Mwamba Makonda ameamua kutoa na kuhatarisha maisha yake kwa ajili ya kuwapambania wanyonge. Halafu anatokea mlevi mmoja na mabango yake kichwani anaropoka mitandaoni au hadharani eti kuwa ni maigizo.hii yote ni kutaka kumkatisha tamaa Mwamba Mwenyewe Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara.
Upo Sahihi kabisaa mkuu!!!!!
Wengi ambao wanamkataa makonda ni watu wenye wivu Tu kama ilivyo kawaida ya watanzania ni watu wenye wivu wa maendeleo
 
Mkuu yule alijiua baada ya maelekezo ya Rais kutokuheshimiwa na kwa bahati mbaya Rais aliyetoa maelekezo alifariki na kuliacha Jambo bado halijatekelezwa. Sasa Kama Mtu alifikisha kesi yake kwa Rais wa Nchi utamlaumu Nini?. Its unfair tu jamaa akaona hawezi kuhimili msingi akaona ajiue.


Kuhusu Jambo langu tumeenda mpaka polisi Tena Hadi ngazi ya RCO wa Mkoa kupeleka ushahidi na baadae kufungua jalada. Nimepeleka ushahidi Hadi kwa mbunge wangu amfikishie Waziri Mkuu aone jinsi wananchi wanavyoteswa ila hola. Kila mtu kimya. Nimepeleka ushahidi kwa ofisi nyeti ya upelelezi wakakimbia kwa kumuogopa huyo tapeli.
Kilichobakia ni nini? Kama umechukua hatua zote na bado vyombo vya Dola havichukui hatua. Ni Bora kuweka mambo wazi ili seriklia ijisahihishe.
Uko sahihi mkuu wangu, lakini hata huyo Makonda anasikiliza na kutatua kero nyepesi. Nakuhakikishia ukimpelekea Makonda hiyo kero hakuna kitu atamfanya, maana utakuta watu wa aina hiyo ndio huwa wanatumika kupora uchaguzi Ili ccm ikae madarakani.

Ukitaka kujua kupiga kelele hakuwatishi, Kuna yule jamaa alijiunganishia bomba la mafuta nyumbani kwake akakutwa, waziri mkuu aliunda hadi tume na akaahidi hadi kutoa taarifa hadharani, hakuna lolote limesemwa hadi leo! Wangekuwa na nia ya dhati wangewezeaha mifumo kufanya kazi.
 
Mkuu yule alijiua baada ya maelekezo ya Rais kutokuheshimiwa na kwa bahati mbaya Rais aliyetoa maelekezo alifariki na kuliacha Jambo bado halijatekelezwa. Sasa Kama Mtu alifikisha kesi yake kwa Rais wa Nchi utamlaumu Nini?. Its unfair tu jamaa akaona hawezi kuhimili msingi akaona ajiue.


Kuhusu Jambo langu tumeenda mpaka polisi Tena Hadi ngazi ya RCO wa Mkoa kupeleka ushahidi na baadae kufungua jalada. Nimepeleka ushahidi Hadi kwa mbunge wangu amfikishie Waziri Mkuu aone jinsi wananchi wanavyoteswa ila hola. Kila mtu kimya. Nimepeleka ushahidi kwa ofisi nyeti ya upelelezi wakakimbia kwa kumuogopa huyo tapeli.
Kilichobakia ni nini? Kama umechukua hatua zote na bado vyombo vya Dola havichukui hatua. Ni Bora kuweka mambo wazi ili seriklia ijisahihishe.
Labda anaisaidia serikali kupunguza nakisi ya bajeti. Kama juhudi zote hizo na hakuna analifanyia kazi.

Kingine labda ni mshirikina, maana pia usibeze hiki kipengele, maana yasemwayo yapo.
 
Pamoja kwamba Mimi ni mfuasi wa CHADEMA na mwanachama wa CHADEMA, ila Kuna jambo moja linanifanya nimuunge mkono Makonda. Kusikiliza kero za wananchi ambazo serikali imeshindwa kuzishughulikia.

Mimi simkubali CCM na Wala simkubali Makonda kwa sababu nyingi tu, ila nakubali kwa hichi alichokifanya. Hata Mimi ningepata nafasi ningeenda kupeleka malalamiko yangu.

Kuna jambo tumelipigania sana. Kiasi cha kufikia kwa polisi. Lakini inaonekana polisi wanamuogopa muhusika. Tumepeleka malalamiko na ushahidi Hadi ofisi ya Waziri lakini hakuna hatua iliyochukuliwa. Wapelelezi wa serikali wamefika sehemu wanakimbia njiani na kuacha mtuhumiwa akijigamba.

Nimeleta ushahidi hapa JF kuhusu tapeli moja anajiita Generali Mwamwega, kwa jina sahihi Macegeron Rweyemamu. Huyu ni tapeli mkubwa analiza watu kupitia kampuni ya One 2 One Focus Limited. Kupitia hiyo kampuni ameitumia kuwahujumu watanzania wengi kiasi Cha wengine kufilisika.

Niliuleta ushahidi hapa JF ukafutwa, tumepeleka ushahidi polisi wamekimbia nao, tumehusisha ofisi za serikali ila wanadai wanamuogopa huyo tapeli.

Inapofikia serikali inamuogopa raia mmoja na hata kumuacha atumie majina ya Viongozi kuibia wananchi unategemea nini?. Kama polisi wanamuogopa tapeli na kuacha kumkamata au kumchunguza raia waendelee wapi?

Generali Mwamwega hagusiki, anatumia cheo Cha jeshi wakati sio mwanajeshi na hakuna Mtu anayemkamata au kumuonya. Anatumia jina la Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi kuibia watu na hakuna anayemkamata au kumuonya. Na emefikia hatua anatumia jina la Waziri Mkuu ila hakuna anayemkamata au kumuonya.

Hivyo basi inapofikia hatua serikali kupitia vyombo vyake vya ulinzi vinamuogopa Generali Mwamwega ambaye wala sio Mwanajeshi aendelee kuumiza raia, basi anachokifaanya Makonda kuita raia na kuwasililiza kero zao nakiunga mkono maana kinaweka hadharani uchafu wa serikali na vyombo vya Dola ambavyo vipo kulinda raia lakini vimegekua kulinda wahalifu.

Kwa nilioyaona kwa Generali Mwamwega na jinsi serikali ilivyomkingia kifua nadhani wananchi wapewe platform ya kuongea haya mambo hadharani Tena live kwenye TV ili uchafu wa vyombo vya Dola uwekwe wazi na wahusika wajue kumbe wanafahamika.

Wakuu wa mikoa wengine igeni mfano wa Makonda maana wananchi wa kawaida wananyanyaswa sana na vombo vya Dola vikishirikiana na wahalifu akama akina Generali Mwamwega au kwa jina halisi Osward Macegeron Rweyeyemamu.
Elezea hao One 2 One Focus Limited na huyo Mwamwega wamafanya utapeli gani au makosa yao ni yapi. Malalamiko mengine ya wabongo dhidi ya matajiri na biashara zao ni kwa sababu ya kukosa uelewa na hulks ya ujamaa wa Nyerere ya kubeba zaidi wasio matajiri.
 
Uko sahihi mkuu wangu, lakini hata huyo Makonda anasikiliza na kutatua kero nyepesi. Nakuhakikishia ukimpelekea Makonda hiyo kero hakuna kitu atamfanya, maana utakuta watu wa aina hiyo ndio huwa wanatumika kupora uchaguzi Ili ccm ikae madarakani.

Ukitaka kujua kupiga kelele hakuwatishi, Kuna yule jamaa alijiunganishia bomba la mafuta nyumbani kwake akakutwa, waziri mkuu aliunda hadi tume na akaahidi hadi kutoa taarifa hadharani, hakuna lolote limesemwa hadi leo! Wangekuwa na nia ya dhati wangewezeaha mifumo kufanya kazi.
Zile zilikuwa fix tu mkuu.

Ila ushauri mwingine mwepesi ni kuchukua sheria mkononi. Sisi tutasomewa tu kuwa wananchi wenye hasira kali, geshi linaendelea kuwatafuta.
 
Mkuu yule alijiua baada ya maelekezo ya Rais kutokuheshimiwa na kwa bahati mbaya Rais aliyetoa maelekezo alifariki na kuliacha Jambo bado halijatekelezwa. Sasa Kama Mtu alifikisha kesi yake kwa Rais wa Nchi utamlaumu Nini?. Its unfair tu jamaa akaona hawezi kuhimili msingi akaona ajiue.


Kuhusu Jambo langu tumeenda mpaka polisi Tena Hadi ngazi ya RCO wa Mkoa kupeleka ushahidi na baadae kufungua jalada. Nimepeleka ushahidi Hadi kwa mbunge wangu amfikishie Waziri Mkuu aone jinsi wananchi wanavyoteswa ila hola. Kila mtu kimya. Nimepeleka ushahidi kwa ofisi nyeti ya upelelezi wakakimbia kwa kumuogopa huyo tapeli.
Kilichobakia ni nini? Kama umechukua hatua zote na bado vyombo vya Dola havichukui hatua. Ni Bora kuweka mambo wazi ili seriklia ijisahihishe.
Vyombo vya dola sio wagawa haki, mahakama pekee ndio kinapaswa kuwa chombo cha ugwaji haki na maamuzi ya nani ana haki. Kinachopaswa kufanyika ni mfumo wa Mahakama uboreshwe watu wasikimbile vyombo vya dola kupata haki kwa sababu ni precedent mbaya sana.
 
Back
Top Bottom