kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,483
- 7,288
Hawa ndio calibre ya viongozi wa kuongoza nchi chini ya chama cha mapinduzi. Kuna watu wamejaa ccm hawaeliwi tunaposema mapinduzi tunamaanisha nini. Tunawataka kina makonda, sabaya, bashiru ali former katibu mkuu, profesa kabudi, na wengine. Tunahitaji uadilifu ujasiri na ujuzi kisiasa. Ubeberu ushapanga haturuhusiwi kuendelea. Wanahitajika viongozi wakweli na jasiri.Tangu kuteuliwa kwa RC Makonda Arusha, Lema ni kama amepotea, watu wapo bize na makonda in short kama hali itaendelea hivi hivi A town Lema ana kazi sana.
Utendaji kazi wa RC unawakosha watu na kuona jinsi chama chao cha mapinduzi ni sikivu nenda uone jinsi watu wanavyosaidiwa kero zao.
Huu muziki ukiendelea hivi hivi kelele za kina Lissu zitakuwa maeneo mengine ila sio Arusha, Istand to be corrected.