Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul makonda lazima alikwea kizimba. Wengi hatujui nini kinahojiwaga na muhojiwa anapaswa kutwii vipi. Ila kwa Paul lazima atakuwa na kujiona ni mteule.

Kiufupi ajitathimini sio kila nyakati unapaswa kufanya kila kitu.

Nahisi saa 3 za mahojiano alipata kibano kwa maneno na kuona anaweza akafanya apendavyo.

Binafsi sion kama anafanya sawa au sisawa ila ana hulka ambayo sidhani kama ataicha... tabia zingine ni za kuzaliwa nazo. Huwez tegemea mtu akaiacha kirahisi.

Kimsingi tume ilipaswa kumuita tangu alivyoanza kuwapigia simu mawaziri.....

Moja wa mawaziri aliowapigia simu hadharani akitoa oda ni Mama wa afya bi Ummy...Huyu wa ardhi jamaa wa ukonga. Na baadhi wachache aliowamudu. Hakuweza kumpigia mH waziri mkuu na makamu mzee mpango. Ila nahisi alitamani apande juu juu zaidi yao.wote isipokuwa Mama pekee.

Kwa hiyo siamini kuwa atakuja badilika japo masaa aliyowekwa si kitu chepesi. Alitoka jasho
Ccm acheni kutufanya Watz wajinga.
 
Hili swali najiuliza sana na hasa ninaposikia Makonda ataongea na Waandishi wa Habari siku za karibuni

Bado sijaelewa Wananchi watapenda kufuatilia Habari gani Kati ya Maandamano ya Tundu Antipas Lisu na Sarakasi Sanaa za Lumumba

Ngoja tuone 🐼
 
Hatari kweli kweli.....ila Kambona amezushiwa mengi sana na kiini cha mgogoro wake na Mwl imebakia fumbo lisilo na jibu, ila jaribio la mapinduzi liliofeli mwaka 1964 limeficha mengi.

JokaKuu Mag3 zitto junior Pascal Mayalla Nguruvi3
Mkuu Proved , ni kweli Kambona amesingiziwa mengi!. Mkuu Kiranga, unapoleta habari za tuhuma nzito kama hizi za u snitch, pia taja source na proof, kitendo cha kumtuhumu mtu ambaye ni marehemu kuwa ni snitch, bila ushahidi wowote, wakati hawezi kujitetea, sio kumtendea haki!.
P
 
Kwani kuna shida gani? Hivi wewe jamaa mbona una cheap politics namna hii. Wala hakuna anayewaza hayo uyawazayo. Chadema wana ratiba yao na mipango yao wala havihusiani na hicho kikao cha ndani cha CCM.
Hili swali najiuliza sana na hasa ninaposikia Makonda ataongea na Waandishi wa Habari siku za karibuni

Bado sijaelewa Wananchi watapenda kufuatilia Habari gani Kati ya Maandamano ya Tundu Antipas Lisu na Sarakasi Sanaa za Lumumba

Ngoja tuone 🐼
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amewasili kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jijini Dodoma kwa ajili ya kuhojiwa na Kamati ya Maadili.

Makonda ameitikia wito wa kufika mbele ya kamati hiyo kwa barua aliyoandikiwa Aprili 16, 2024 huku sababu za kuitwa kwake zikiwa hazijawekwa wazi.

Awali, Makonda alitakiwa kufika mbele ya kamati hiyo Aprili 20, 2024 kabla ya kusogezwa mbele na kupangwa kufanyika leo Jumatatu, Aprili 22, 2024.

Pia soma
Angewataja vipi na Hana ushahidi…
 
Mkuu Proved , ni kweli Kambona amesingiziwa mengi!. Mkuu Kiranga, unapoleta habari za tuhuma nzito kama hizi za u snitch, pia taja source na proof, kitendo cha kumtuhumu mtu ambaye ni marehemu kuwa ni snitch, bila ushahidi wowote, wakati hawezi kujitetea, sio kumtendea haki!.
P
Mkuu,

Source nilishaweka kitabu mpaka kurasa post #18.

Kitabu kilichapishwa mwaka 1971 -722 kinaitwa "We Must Run While They Walk: A Portrait of Africa's Julius Nyerere" by William Edgett Smith 1971 alternatively published as "Nyerere of Tanzania" in the UK in 1972.

Pia, mtu ambaye kazi yake ilikuwa kukusanya na kuhariri habari kumuita snitch kwa kufanya kazi yake wewe ndiye unamvunjia heshima.

Post in thread 'Mzee Hashim Rungwe: Makonda anataka awe chawa mkuu wa Rais Samia, analazimisha asikilizwe yeye sana' Mzee Hashim Rungwe: Makonda anataka awe chawa mkuu wa Rais Samia, analazimisha asikilizwe yeye sana
 
Na kawaida ya Zimwi likitolewa kwenye chupa huwa halirudi tena ndani ya chupa!
Vinginevyo litaondoka na wengi !

Ngoja Tusubiri tuone !
 
Watumishi wa Umma Huwa wapo wapo Hadi unajiuliza Hawa ni Wasomi walienda shule kuongeza maarifa au kukua na kupata cheti waje kutoa Huduma za hovyo?

Huu ni aina nyingine ya ushahidi wa jinsi tuna Utumishi wa Umma usiojitambua na usiowajibika.

My Take
Wakati mwingine Watumishi Wakifanyiwa bullying unapata shida kuwatetea kutokana na walivyo.

Utashangaa wanaoitaa Wataalamu na Wasomi wanasubiria Kila kiutu waelekezwe na Viongozi wa siasa, soma Mkuu wa Mkoa Arusha Paul Makonda: Kiongozi Mzima Kujieleza Hujui, Mnapataje Hizi Nafasi TARURA?

========

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amewataka wakandarasi na wasimamizi wa miradi mbalimbali ya serikali inayotekelezwa katika Mkoa huo, kuhakikisha wanakamilisha Kwa wakati na ubora unaotakiwa.

Hayo yamebainishwa na Senyamule wakati wa ziara yake ya kikazi katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma iliyofanyika Leo Aprili 23,2024..

Aidha Mhe. Senyamule amekagua ujenzi wa Hospitali ya wilaya ya Dodoma, ukarabati wa madarasa ya Shule ya msingi Amani, ukaguzi wa Shule ya Dodoma English Medium pamoja na ukaguzi wa ujenzi wa jengo la Mionzi ya kutibu Saratani katika Hospitali ya Benjamini Mkapa.

 
Wengine wakizingua mama anawapiga kalamu tu hakuna kuhojiwa lkn bashite anaitwa kubembelezwa huyu bashite ccm ilishamshindwa kabisa.
Makonda ni kiboko yao !
Hata JPM alimuogopa mpaka pale mwenyewe akajichanganya kuutaka ubunge ndipo alipopata nafasi ya kumuacha mazima !!

This time hawezi kurudia makosa yale !!
Ngoja tuone. !!
 
Hongera mkuuu wa mkoa Dodoma. Umeonyesha leadership. Licha ya makosa kuna kurekebishana bila kudhalilishana mbele ya watu. Matatizo yamesemwa mbele ya watu na hakuna aliyekuwa embarrassed. Then inaweza kufuata face to face kwa anayehusika kujua chanzo cha mapungufu ili kumsaidia kama anahitaji msaada wako kufanya inavyotakiwa. Na kama hana uwezo hatua zingine zifuate ili ufanisi uwepo . Ila mambo ya kufokeana na kudogoshana mbele ya kadamnasi yanaonyesha immaturity au ukosefu wa maadili na wala hayajengi.
 
Back
Top Bottom