Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Pamoja na yote, PCM anawakilisha hisia za watanzania wengi wanaomtakia Mama mema.

sifa kubwa ya CCM ni wanafiki and snitches. Huwa wanawekeana hata sumu.

90% waliokuwa wakimchekea JPM na kumuimba mitano tena , 89% among them walikuwa wanafiki na wakikaa pembeni wana msnitch. Hata ma’am alikuwa anampigia JPM makofi, but deep down , it wasn’t that way . Hiyo ndio CCM ! Chama cha Majambazi!

This time, kuna watu for sure wanautaka urais and they believe mama is unable to still handle the position. First off, gender issue , for them ….. woman is less. Second; wanaona nchi inaenda mrama na imekosa dira and mam does not know what she can do best. Dola imepotea, petrol ipo juu, deni limeongezeka, ufisadi ni kama umerudi, construction zimestuck, food supplies bei hazishikiki, kila mtu analia, japo wapo wanaocheka.

Third, hesabu zao zitayumba endapo mama atapiga mitano, kama mama ataendelea, chances za wao kupoteza matumaini zitaongezeka kama ilivyo kwa Raila.

PCM ni smartest guy kwa karne ya sasa. He was trained to sniff ; and he also Learned what is the right moment to hit the ball , his speech was so perfect and at the right moment.

However, it has disturbed a lot kwa sababu hao watu wapo , and some of them wapo kwenye high table na president, kama wengi mnadhani PCM ameropoka, you might have wrong idea .

The boy is very strategically and it takes a lot minds to understand him. I am sure Samia anaelewa the connotation.

Aingie mzigoni awapige intel kama alivyofanya Ngosha ikiwemo kuingilia mawasiliano yao.

Unaweza kuwa unakimbizana na lema au lissu au wanamitandao, kumbe the devil is just right on your nose.
The Sokoine of Modern Times :SillyChamp:
 
Pamoja na yote, PCM anawakilisha hisia za watanzania wengi wanaomtakia Mama mema.

sifa kubwa ya CCM ni wanafiki and snitches. Huwa wanawekeana hata sumu.

90% waliokuwa wakimchekea JPM na kumuimba mitano tena , 89% among them walikuwa wanafiki na wakikaa pembeni wana msnitch. Hata ma’am alikuwa anampigia JPM makofi, but deep down , it wasn’t that way . Hiyo ndio CCM ! Chama cha Majambazi!

This time, kuna watu for sure wanautaka urais and they believe mama is unable to still handle the position. First off, gender issue , for them ….. woman is less. Second; wanaona nchi inaenda mrama na imekosa dira and mam does not know what she can do best. Dola imepotea, petrol ipo juu, deni limeongezeka, ufisadi ni kama umerudi, construction zimestuck, food supplies bei hazishikiki, kila mtu analia, japo wapo wanaocheka.

Third, hesabu zao zitayumba endapo mama atapiga mitano, kama mama ataendelea, chances za wao kupoteza matumaini zitaongezeka kama ilivyo kwa Raila.

PCM ni smartest guy kwa karne ya sasa. He was trained to sniff ; and he also Learned what is the right moment to hit the ball , his speech was so perfect and at the right moment.

However, it has disturbed a lot kwa sababu hao watu wapo , and some of them wapo kwenye high table na president, kama wengi mnadhani PCM ameropoka, you might have wrong idea .

The boy is very strategically and it takes a lot minds to understand him. I am sure Samia anaelewa the connotation.

Aingie mzigoni awapige intel kama alivyofanya Ngosha ikiwemo kuingilia mawasiliano yao.

Unaweza kuwa unakimbizana na lema au lissu au wanamitandao, kumbe the devil is just right on your nose.
Bashite.......in Ngwaji voice :D
 
Siamini kama ule ndio msimamo wa Rais kutoka moyoni, Makonda ni "mtoto" wa Rais hata kama hajatamka hadharani, ni vigumu sana pamoja na makandokando yote yanayojulikana wazi Rais amemrudisha enzini, haiwezekani Rais pamoja na vyombo vyake asijue rekodi nzuri ya bwana Makonda ya kutuhumu watu bila ushahidi, eti leo amwamini, ule ni mchezo wa mama na mwana kwenye forum waliyotengeneza maalum kwa kazi hiyo,Sokoine amefariki mwaka 1984 lakini maadhimisho ya kwanza yamechukua miaka 40
 
90% waliokuwa wakimchekea JPM na kumuimba mitano tena , 89% among them walikuwa wanafiki na wakikaa pembeni wana msnitch. Hata ma’am alikuwa anampigia JPM makofi, but deep down , it wasn’t that way . Hiyo ndio CCM ! Chama cha Majambazi!
Mpk hapo umeua. Hata mm sasa nakubali kuwa hao mawaziri wapo na ni kweli wanamtukana mama.

Walikuwa njama moja na Makonda lkn Makonda baada ya kushushwa cheo kaumia sana, naye ameamua liwalo na liwe.
 
Pamoja na yote, PCM anawakilisha hisia za watanzania wengi wanaomtakia Mama mema.

sifa kubwa ya CCM ni wanafiki and snitches. Huwa wanawekeana hata sumu.

90% waliokuwa wakimchekea JPM na kumuimba mitano tena , 89% among them walikuwa wanafiki na wakikaa pembeni wana msnitch. Hata ma’am alikuwa anampigia JPM makofi, but deep down , it wasn’t that way . Hiyo ndio CCM ! Chama cha Majambazi!

This time, kuna watu for sure wanautaka urais and they believe mama is unable to still handle the position. First off, gender issue , for them ….. woman is less. Second; wanaona nchi inaenda mrama na imekosa dira and mam does not know what she can do best. Dola imepotea, petrol ipo juu, deni limeongezeka, ufisadi ni kama umerudi, construction zimestuck, food supplies bei hazishikiki, kila mtu analia, japo wapo wanaocheka.

Third, hesabu zao zitayumba endapo mama atapiga mitano, kama mama ataendelea, chances za wao kupoteza matumaini zitaongezeka kama ilivyo kwa Raila.

PCM ni smartest guy kwa karne ya sasa. He was trained to sniff ; and he also Learned what is the right moment to hit the ball , his speech was so perfect and at the right moment.

However, it has disturbed a lot kwa sababu hao watu wapo , and some of them wapo kwenye high table na president, kama wengi mnadhani PCM ameropoka, you might have wrong idea .

The boy is very strategically and it takes a lot of minds to understand him. I am sure Samia anaelewa the connotation.

Aingie mzigoni awapige intel kama alivyofanya Ngosha ikiwemo kuingilia mawasiliano yao.

Unaweza kuwa unakimbizana na lema au lissu au wanamitandao, kumbe the devil is just right on your nose.
Vingereza vyote hivi ni vya kumsifia zyapunga Paul Makonda?
 
Pamoja na yote, PCM anawakilisha hisia za watanzania wengi wanaomtakia Mama mema.

sifa kubwa ya CCM ni wanafiki and snitches. Huwa wanawekeana hata sumu.

90% waliokuwa wakimchekea JPM na kumuimba mitano tena , 89% among them walikuwa wanafiki na wakikaa pembeni wana msnitch. Hata ma’am alikuwa anampigia JPM makofi, but deep down , it wasn’t that way . Hiyo ndio CCM ! Chama cha Majambazi!

This time, kuna watu for sure wanautaka urais and they believe mama is unable to still handle the position. First off, gender issue , for them ….. woman is less. Second; wanaona nchi inaenda mrama na imekosa dira and mam does not know what she can do best. Dola imepotea, petrol ipo juu, deni limeongezeka, ufisadi ni kama umerudi, construction zimestuck, food supplies bei hazishikiki, kila mtu analia, japo wapo wanaocheka.

Third, hesabu zao zitayumba endapo mama atapiga mitano, kama mama ataendelea, chances za wao kupoteza matumaini zitaongezeka kama ilivyo kwa Raila.

PCM ni smartest guy kwa karne ya sasa. He was trained to sniff ; and he also Learned what is the right moment to hit the ball , his speech was so perfect and at the right moment.

However, it has disturbed a lot kwa sababu hao watu wapo , and some of them wapo kwenye high table na president, kama wengi mnadhani PCM ameropoka, you might have wrong idea .

The boy is very strategically and it takes a lot of minds to understand him. I am sure Samia anaelewa the connotation.

Aingie mzigoni awapige intel kama alivyofanya Ngosha ikiwemo kuingilia mawasiliano yao.

Unaweza kuwa unakimbizana na lema au lissu au wanamitandao, kumbe the devil is just right on your nose.
Acha kumwagia sifa za kiutukufu mwanaume mwenzio ambaye cha ajabu unamwita “boy”. You are full of shit!
 
Acha kumwagia sifa za kiutukufu mwanaume mwenzio ambaye cha ajabu unamwita “boy”. You are full of shit!

Kwahiyo umeona neno boy au ? Japo siamini katika Jesus , lakini napenda story za bible , Jesus was betrayed by the person who was just right to his nose.

Dogo hukumuzuku, you should learn kuwa wasaliti hawatoki mbali

Kuwa na kiakili dogo
 
Back
Top Bottom