Last Seen JF-Expert Member Jun 7, 2013 223 549 Jan 2, 2022 #1 Staa wa Klab ya PSG na Argentina amegundulika ana mambukizi ya ugonjwa wa uviko-19 na klabu yake imethibitisha leo. Staa huyo tayari ashajitenga na kuna uwezekano akakosa mchezo wa French Cup dhidi ya cannes.
Staa wa Klab ya PSG na Argentina amegundulika ana mambukizi ya ugonjwa wa uviko-19 na klabu yake imethibitisha leo. Staa huyo tayari ashajitenga na kuna uwezekano akakosa mchezo wa French Cup dhidi ya cannes.
NAWATAFUNA JF-Expert Member Nov 14, 2019 13,286 24,003 Jan 2, 2022 #2 Iyo kawaida kwa sasa,Uvico ni janga la Dunia.