Tumekuwa tunahimizwa kutumia Gas badala ya mkaa ili kulinda mazingira. Lakini nashindwa neno sahihi la kukiita sijui ni wizi au ni Utapeli Kwa kujaziwa sijui ni mchanganyiko wa Maji na gas katika mitungi ya gas.
Nimenunua mtungi wa ORIX gas wiki iliyopita na kutumia lakini chakushangaza badala ya gas Sasa inatosha unyevunyevu wa Maji Maji. Na mtungi Bado uko na uzito wa karibu nusu.
Sasa mnatumia fursa hii ya kutokuonekana Kwa kilichomo ndani ya mtungi kutujazia sijui Maji ili uzito uwe ni Sawa?
Hii inaonyesha kuwa ni MAKUSUDI hiki kitendo mnakifanya na waTanzania wengi tunaathirika.
Nimenunua mtungi wa ORIX gas wiki iliyopita na kutumia lakini chakushangaza badala ya gas Sasa inatosha unyevunyevu wa Maji Maji. Na mtungi Bado uko na uzito wa karibu nusu.
Sasa mnatumia fursa hii ya kutokuonekana Kwa kilichomo ndani ya mtungi kutujazia sijui Maji ili uzito uwe ni Sawa?
Hii inaonyesha kuwa ni MAKUSUDI hiki kitendo mnakifanya na waTanzania wengi tunaathirika.