Orodha ya wagombea wanaowania kumrithi mh. Lowassa jimbo la Monduli

Ajadili mada ambayo haijakamilika! Ulitakiwa kueleza huyo anayerithiwa anakwenda wapi au nini kimetokea then ukaendelea na list yako ya warithi.

Huo ni mtizamo wako,hiv wewe ni professional kwny mambo ya habari au ni ushuzi tu unaleta?rudi kwenye mada acha kufanya editing ambazo hazipo othrwz tafuta shughuli nyingine ya kufanya.
 
Huo ni mtizamo wako,hiv wewe ni professional kwny mambo ya habari au ni ushuzi tu unaleta?rudi kwenye mada acha kufanya editing ambazo hazipo othrwz tafuta shughuli nyingine ya kufanya.
Acha uwoga, mada umeleta wewe halafu unaogopa kukosolewa! Usipaniki jikaze. Yaani mpaka unatoka nje ya mada unaleta neno ushuzi wakati halipo kwenye mada yako mwenyewe halafu sijui unajisahau unaniambia tena mimi nirudi kwenye mada, mbona majanga!
 
Angalieni na shule zao je zinaweza kuwafanya wateuliwe kuwa mawaziri??au ndo za kuishia kwenye ubunge tu
 
Wana jf hatimaye Fukuto la kisiasa wilayani monduli limezidi kupanda,ikumbukwe kuwa wiki hii karibu nzma kumekua na uzi tofauti tofauti zilizokuwa zinazungumzia siasa za monduli na ni nani hasa atakaye vaa au mwenye uwezo wa kuvivaa viatu vya mzee lowassa,wengi wametajwa kutaka kuvaa viatu vya lowassa,isipokuw wasiwas wngu hawa wanaotajwa ni kwa namna wanakubalika monduli,najua kweny hii list wapo watendaji wazuri ila sasa niwalete kwenu wana jf muwezee kuwachambua mmoja baada ya mwingne,
1.Namelock Sokoine(mbunge viti maalum)
2.Paulo Kiteleki(katibu tarafa makuyuni)
3.Loata Sanare
4.Emmanuel ole Naiko(mkurugenzi mstaafu TIC)
5.Izack joseph kadogoo(diwani monduli mjini)

hii ndo list ambayo mpaka sahv iko masikion mwa wananchi wa monduli sasa tuchambue kwa umakini jazba,matusi,wivu,tuweke pemben,nawasilisha.

mkuu hapo umemsahau kijana machachali na msomi anaemalizia shahada yake ya kwanza kijana

domminic Ole lenga,
I know he is the man of ction indeed japo waweza kuwa umemwacha kwa kuwa hayumo kwenye mtandao wa fisadi Lowassa na hamnyenyekei huyo Mmeru waliobaki wote vibaraka wansubiri kumwomba ruhusa kugombea ubunge ama nafasi yoyote ile kisiasa.
 
mkuu hapo umemsahau kijana machachali na msomi anaemalizia shahada yake ya kwanza kijana

domminic Ole lenga,
I know he is the man of ction indeed japo waweza kuwa umemwacha kwa kuwa hayumo kwenye mtandao wa fisadi Lowassa na hamnyenyekei huyo Mmeru waliobaki wote vibaraka wansubiri kumwomba ruhusa kugombea ubunge ama nafasi yoyote ile kisiasa.

hyu dominic ci ndo yule mtoto wa lenga aliyeuguw ukichaaaa
 
mkuu hapo umemsahau kijana machachali na msomi anaemalizia shahada yake ya kwanza kijana

domminic Ole lenga,
I know he is the man of ction indeed japo waweza kuwa umemwacha kwa kuwa hayumo kwenye mtandao wa fisadi Lowassa na hamnyenyekei huyo Mmeru waliobaki wote vibaraka wansubiri kumwomba ruhusa kugombea ubunge ama nafasi yoyote ile kisiasa.

Mkuu kwahuyo kuna uwezekano ana nia lkn si kuzungumziwa na wakazi wa monduli.
 
Back
Top Bottom