Onyo: Usinunue Heligo Kit bila ushauri wa Daktari

Mkwawa mnyalukoro

JF-Expert Member
Oct 11, 2017
232
136
Ndugu mnaosumbuliwa na vidonda vya tumbo,

Tumezoea humu JF raia wakitoa ushuhuda juu ya dawa fulani kuwa imemsaidia kuponya matatizo yake na kushauri na wengine kwenda kuinunua hiyo dawa.

Mimi ni mhanga wa vidonda vya tumbo. Juzi nilienda hospitali kwenda kucheki maendeleo ya ugonjwa wangu. Daktari akanipa Omeplazole nitumie mwezi mzima na Panadol.

Nikamuuliza daktari kwanini asiniandikie Heligo Kit?

Daktari akanijibu Heligo Kit ni dawa ambayo ni kali sana na hutumika kutibu vidonda vya tumbo kama tatizo limefikia stage ya mwisho, na pia ina madhara makubwa sana ya kiafya hasa kama utaitumia bila kujua vidonda vina ukubwa kiasi gani tumboni.

Hivyo tunashauriwa kabla ya kununua dawa, ni lazima upate ushauri kwa daktari.
 
Heligokit ni kwa ajili ya vidonda vilivyosababishwa na bacteria Helicobacter pylori na ni combination ya dawa tatu Antibiotics mbili na proton pump inhibitor moja (hizi hupunguza acid tumboni) dawa hizo ni Tinidazole,clarithromycin na lansoprazole.

Omeprazole ni kwa ajili ya vidonda vilivyoletwa na matumizi makubwa ya dawa za maumivu (NSAIDS)

So cha muhimu ni kujua sababu ya vidonda vyako kabla ya kutumia dawa na hii yaweza kujulikana kutoka kwenye history yako au vipimo vya maabara kama H.pylori antigen test from stool or blood.

Na sio kweli kwamba ni kwa vidonda vilivyoshindikana tu
 
Hizo ni akili za doctor wako, lakini ukiumwa na dalili za vidonda vya Tumbo unaenda hospitali unapima h, pirol kwa njia ya damu hakuna kitu.

Unapiga utersound hakuna kitu, unapeleka mavi hakuna kitu, Unatumbukiza mpira tumboni hakuna kitu yaani kifupi hauna vidonda vya tumbo.

Lakini ukila pili pili,.mtindi,ndizi mbivu, maharage, nyama choma,ukinywa maziwa wewe upo kwennye mateso, Lakini sasa baada ya matumizi ya heligo kit na omeprazole kwa muda wa miezi 3.

Bila hata ushauri wa daktari wala which doctor hivi sasa nakula kila kitu na niko fiti.

Hapo umepata somo gani?
 
Naumwa balaa cjui nikanunue
Hizo ni akili za doctor wako, lakini ukiumwa na dalili za vidonda vya Tumbo unaenda hospitali unapima h, pirol kwa njia ya damu hakuna kitu,
Unapiga utersound hakuna kitu, unapeleka mavi hakuna kitu, Unatumbukiza mpira tumboni hakuna kitu yaani kifupi hauna vidonda vya tumbo
Lakini ukila pili pili,.mtindi,ndizi mbivu, maharage, nyama choma,ukinywa maziwa wewe upo kwennye mateso,
Lakini sasa baada ya matumizi ya heligo kit na omeprazole kwa muda wa miezi 3
Bila hata ushauri wa daktari wala which doctor hivi sasa nakula kila kitu na niko fiti
Hapo umepata somo gani?
 
Heligokit ni kwa ajili ya vidonda vilivyosababishwa na bacteria Helicobacter pylori na ni combination ya dawa tatu Antibiotics mbili na proton pump inhibitor moja (hizi hupunguza acid tumboni) dawa hizo ni Tinidazole,clarithromycin na lansoprazole...
Asante sana kwa ufafanuzi huu.
 
Heligokit ni kwa ajili ya vidonda vilivyosababishwa na bacteria Helicobacter pylori na ni combination ya dawa tatu Antibiotics mbili na proton pump inhibitor moja (hizi hupunguza acid tumboni) dawa hizo ni Tinidazole,clarithromycin na lansoprazole.

Omeprazole ni kwa ajili ya vidonda vilivyoletwa na matumizi makubwa ya dawa za maumivu (NSAIDS)

So cha muhimu ni kujua sababu ya vidonda vyako kabla ya kutumia dawa na hii yaweza kujulikana kutoka kwenye history yako au vipimo vya maabara kama H.pylori antigen test from stool or blood.

Na sio kweli kwamba ni kwa vidonda vilivyoshindikana tu
Mkuu heligokit huuzwa bei gan
 
Heligokit ni kwa ajili ya vidonda vilivyosababishwa na bacteria Helicobacter pylori na ni combination ya dawa tatu Antibiotics mbili na proton pump inhibitor moja (hizi hupunguza acid tumboni) dawa hizo ni Tinidazole,clarithromycin na lansoprazole.

Omeprazole ni kwa ajili ya vidonda vilivyoletwa na matumizi makubwa ya dawa za maumivu (NSAIDS)

So cha muhimu ni kujua sababu ya vidonda vyako kabla ya kutumia dawa na hii yaweza kujulikana kutoka kwenye history yako au vipimo vya maabara kama H.pylori antigen test from stool or blood.

Na sio kweli kwamba ni kwa vidonda vilivyoshindikana tu
Kweli nimeenda hospital wamesema kuna mdudu katk choo kikubwa nimeandikiwa hiyo dawa now Niko day 3 nimepewa za wik mbil ila nikali sana
 
Hizo ni akili za doctor wako, lakini ukiumwa na dalili za vidonda vya Tumbo unaenda hospitali unapima h, pirol kwa njia ya damu hakuna kitu.

Unapiga utersound hakuna kitu, unapeleka mavi hakuna kitu, Unatumbukiza mpira tumboni hakuna kitu yaani kifupi hauna vidonda vya tumbo.

Lakini ukila pili pili,.mtindi,ndizi mbivu, maharage, nyama choma,ukinywa maziwa wewe upo kwennye mateso, Lakini sasa baada ya matumizi ya heligo kit na omeprazole kwa muda wa miezi 3.

Bila hata ushauri wa daktari wala which doctor hivi sasa nakula kila kitu na niko fiti.

Hapo umepata somo gani?
Ulichoelezwa ndo utaratibu. Hapa unaweza kuwa umepona kwa PPI(Proton pump inhibitor), iliyoko ndani ya Heligo kit. Ambayo kazi yake ni ku-control kiasi cha acid tumboni.
 
Heligokit ni kwa ajili ya vidonda vilivyosababishwa na bacteria Helicobacter pylori na ni combination ya dawa tatu Antibiotics mbili na proton pump inhibitor moja (hizi hupunguza acid tumboni) dawa hizo ni Tinidazole,clarithromycin na lansoprazole.

Omeprazole ni kwa ajili ya vidonda vilivyoletwa na matumizi makubwa ya dawa za maumivu (NSAIDS)

So cha muhimu ni kujua sababu ya vidonda vyako kabla ya kutumia dawa na hii yaweza kujulikana kutoka kwenye history yako au vipimo vya maabara kama H.pylori antigen test from stool or blood.

Na sio kweli kwamba ni kwa vidonda vilivyoshindikana tu
Vyangu walipima kwa kutumia damu vikawa positive
 
Vyangu walipima kwa kutumia damu vikawa positive
1: Kipimo cha damu hakiaminiki/not reliable. Tumia kipimo cha choo kubwa.

2: Ukitaka kupima hakikisha hutumii dawa yoyote ya: Amoxicillin na zile za ku-control acid pamoja na gesi. Kwani, huingilia mfumo wa kipimo na kuonyesha ni chanya/Positive.

Kaa wiki moja bila kutumia dawa hapo juu ndo upime.
 
Asante sanaKipimo cha damu hakiaminiki/not reliable. Tumia kipimo cha choo kubwa.

2: Ukitaka kupima hakikisha hutumii dawa yoyote ya: Amoxicillin na zile za ku-control acid pamoja na gesi. Kwani, huingilia mfumo wa kipimo na kuonyesha ni chanya/Positive.

Kaa wiki moja bila kutumia dawa hapo juu ndo upime.
Asante sana
 
Asante sana
Nimesahau kitu kimoja:
Kama ukitibiwa uwepo wa H. Pylori, ili kufanya follow up/kuangalia kama imeisha basi kaa mwezi mzima baada ya tiba. Kwani kemikali inayopimwa huchukua muda kuisha kutokana na mwili kuipunguza taratibu toka mwilini.

Ukipima mapema itaonekana wapo na utapewa dawa tena kumbe wakati mwingine ni kemikali tu haijaisha ila mdudu keshaondolewa mwilini.
 
Nimesahau kitu kimoja:
Kama ukitibiwa uwepo wa H. Pylori, ili kufanya follow up/kuangalia kama imeisha basi kaa mwezi mzima baada ya tiba. Kwani kemikali inayopimwa huchukua muda kuisha kutokana na mwili kuipunguza taratibu toka mwilini.

Ukipima mapema itaonekana wapo na utapewa dawa tena kumbe wakati mwingine ni kemikali tu haijaisha ila mdudu keshaondolewa mwilini.
Je vipi hiyo dawa naitumia yenyewe tu bila mchanganyiko wa dawa nyingine
 
Je vipi hiyo dawa naitumia yenyewe tu bila mchanganyiko wa dawa nyingine
Kama umepatikana na H. Pylori:

1: Helgo kit huwa inajitosheleza kwani ni mchanganyiko wa antibiotics na antiacid.

2: Wakati mwingine huwa kunatolewa na mchanganyiko wa dawa ambazo hazijachanganywa/unganishwa kwenye package moja, lakini kwa uwezo sawa na ukipata namba moja hapo juu.

NB: Kulingana na aina ya mgonjwa, wakati mwingine huwa kuna haja ya kuendelea na dawa ya ku-control acid kwa muda mrefu baada ya dose hapo juu ya kuondoa H. Pylori kulingana na madhira ambayo huwa yameshatokea kwenye njia ya chakula.
 
Kama umepatikana na H. Pylori:

1: Helgo kit huwa inajitosheleza kwani ni mchanganyiko wa antibiotics na antiacid.

2: Wakati mwingine huwa kunatolewa na mchanganyiko wa dawa ambazo hazijachanganywa/unganishwa kwenye package moja, lakini kwa uwezo sawa na ukipata namba moja hapo juu.

NB: Kulingana na aina ya mgonjwa, wakati mwingine huwa kuna haja ya kuendelea na dawa ya ku-control acid kwa muda mrefu baada ya dose hapo juu ya kuondoa H. Pylori kulingana na madhira ambayo huwa yameshatokea kwenye njia ya chakula.
Vipi omeprazole itafaa kwa muendelezo??
 
Back
Top Bottom