Hivi karibuni kumekua na ongezeko la vituo vya DIALYSIS hususani miji mikubwa nchini. Mfano Dar es Salaam, Arusha, Mwanza na Dodoma. Hii maana yake nn? Wizara stukeni Wizara ya Afya Tanzania
**Usikute watu wanalishwa sumu kupitia dawa na pombe feki makusudi, ili wahuni wapige hela kimasihara.
NB: Dialysis center vinachuana na Petrol/fuel stations Kwa idadi
**Usikute watu wanalishwa sumu kupitia dawa na pombe feki makusudi, ili wahuni wapige hela kimasihara.
NB: Dialysis center vinachuana na Petrol/fuel stations Kwa idadi