Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 4,799
- 11,236
kwenye maisha yako usijekukutana na mtu ambae hana cha kupoteza... Hawa watu wana matatizo mkubwa, mfano wa watu wasiokuwa na cha kupoteza, mtumishi wa serikali ya Tanzania ambae amefanya kazi muda mrefu na hana maendeleo.. Mwanamke anaeishi uswahilini na hana mume (single mother) mwanachama wa ccm aliekipambania chama kwa muda mrefu na hajakumbukwa kwenye fursa yoyote.. Kijana wa Kitanzania asiekuwa na mali, kipaji au elimu😁