POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
Rais wa USA- Kamanda Obama, kutembelea mitambo ya Symbion, ambayo ilitokana na Dowans, ilioleta kashfa ya ufisadi na kupelekea waziri mkuu, wakati huu Lowassa kujiuzulu.
Je! Hii ni nguvu ya Lowassa na Rostamu?.
Je! Ni kutaka kumsafisha?
Je! Hafahamu mitamba anayoendelea ilianzia wapi!?
Je! Dowans ilikuwa halali!?
Je! Hii ni nguvu ya Lowassa na Rostamu?.
Je! Ni kutaka kumsafisha?
Je! Hafahamu mitamba anayoendelea ilianzia wapi!?
Je! Dowans ilikuwa halali!?