No wonder wa kwetu hamnazo...

RayB

JF-Expert Member
Nov 27, 2009
2,751
196
Kulikuwa na vijana kutoka nchi tatu wenye interesting stories from their coutries, mmoja kutoka China akasema, huko China alizaliwa mtoto hana mkono tukamwekea mkono wa bandia sasa ni mpiganaji wa karate. Kijana wa Kijerumani akasema huko kwao alizaliwa msichana hana miguu yote akawekewa ya bandia na sasa ni mkimbiaji wa olimpic na mpaka sasa ana medali 3 za dhahabu. Mtanzania akacheka saaaana na kusema kwenu bado hamjafikia rekodi yetu,sisi hapo bagamoyo alizaliwa kijana hana ubongo, tukamwekea Nazi na sasa ni RAISI!!
 
Kulikuwa na vijana kutoka nchi tatu wenye interesting stories from their coutries, mmoja kutoka China akasema, huko China alizaliwa mtoto hana mkono tukamwekea mkono wa bandia sasa ni mpiganaji wa karate. Kijana wa Kijerumani akasema huko kwao alizaliwa msichana hana miguu yote akawekewa ya bandia na sasa ni mkimbiaji wa olimpic na mpaka sasa ana medali 3 za dhahabu. Mtanzania akacheka saaaana na kusema kwenu bado hamjafikia rekodi yetu,sisi hapo bagamoyo alizaliwa kijana hana ubongo, tukamwekea Nazi na sasa ni RAISI!!


Hiki ni zaidi ya kichekesho kaka! big up!
 
Hii thread si ipo. Unafanya duplication of the post.
 
namuachia mtoa hoja ananikumbusha mbali sana miaka ileeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.................................
 
Nahisi kama inafanana na hii:

Once in a conference, three scientist. A Chinese, a German and a Kenyan, were talking and bragging about the technological advances their representative countries have achieved in the field of medicine.

Says the Chinese, "In Guizhou (Kweichow), there was a baby boy born without forearms, so we attached artificial forearms on him. And now that he is grown, he has become an Olympic professional Martial Art and a gold medallist at that."

The German replied, "That's nothing to what we have done back in Berlin, there was a baby girl born without legs on her, she is 3 times marathon gold medallist in the Olympics!"

The Kenyan interjected laughingly, "Is that all you have, just gold medallist? In Nairobi, we have a baby born without a head! We attached a coconut to the neck and he is now the president."
 
Kulikuwa na vijana kutoka nchi tatu wenye interesting stories from their coutries, mmoja kutoka China akasema, huko China alizaliwa mtoto hana mkono tukamwekea mkono wa bandia sasa ni mpiganaji wa karate. Kijana wa Kijerumani akasema huko kwao alizaliwa msichana hana miguu yote akawekewa ya bandia na sasa ni mkimbiaji wa olimpic na mpaka sasa ana medali 3 za dhahabu. Mtanzania akacheka saaaana na kusema kwenu bado hamjafikia rekodi yetu,sisi hapo bagamoyo alizaliwa kijana hana ubongo, tukamwekea Nazi na sasa ni RAISI!!
<br />
<br />
hii ndo yenyewe achana na hyo ya zaman
 
duh... Hii kiboko... Yaani Tanzania nzima tunaongozwa na tui. Kmk nae anasoma hizi thread
 
Back
Top Bottom