Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,432
- 6,639
Benki ya NMB imekabidhi jezi kwa Baraza la Michezo kwa Majeshi Tanzania kwajili ya mashindano yatakayotimua vumbi kuanzia Julai mpaka August mwaka huu.
Jezi 154 kwa Football
Jezi 84 kwa Basketball
Track suit 32
Tshirt 250
Vifaa hivyo vyenye thamani ya Milioni 16 vitasaidia ufanyikaji wa mashindano hayo kwa ufanisi mkubwa.
Kila la heri kwa majeshi yetu kwani michezi ni afya.
Jezi 154 kwa Football
Jezi 84 kwa Basketball
Track suit 32
Tshirt 250
Vifaa hivyo vyenye thamani ya Milioni 16 vitasaidia ufanyikaji wa mashindano hayo kwa ufanisi mkubwa.
Kila la heri kwa majeshi yetu kwani michezi ni afya.