NMB yakabidhi jezi kwaajili ya michezo ya Majeshi

Mchochezi

JF-Expert Member
Feb 29, 2012
10,432
6,639
Benki ya NMB imekabidhi jezi kwa Baraza la Michezo kwa Majeshi Tanzania kwajili ya mashindano yatakayotimua vumbi kuanzia Julai mpaka August mwaka huu.

Jezi 154 kwa Football
Jezi 84 kwa Basketball
Track suit 32
Tshirt 250

Vifaa hivyo vyenye thamani ya Milioni 16 vitasaidia ufanyikaji wa mashindano hayo kwa ufanisi mkubwa.

Kila la heri kwa majeshi yetu kwani michezi ni afya.
IMG_1167.jpeg
 
Benki ya NMB imekabidhi jezi kwa Baraza la Michezo kwa Majeshi Tanzania kwajili ya mashindano yatakayotimua vumbi kuanzia Julai mpaka August mwaka huu.

Jezi 154 kwa Football
Jezi 84 kwa Basketball
Track suit 32
Tshirt 250

Vifaa hivyo vyenye thamani ya Milioni 16 vitasaidia ufanyikaji wa mashindano hayo kwa ufanisi mkubwa.

Kila la heri kwa majeshi yetu kwani michezi ni afya.View attachment 2984894
Ila wanawake mna nini lakini!??
 
Benki nazo zimo, kuna ile ya Kimei imejiita chaasubuhi hii haitaki maneno ni vitendo
1715227665001.png
 
Benki ya NMB imekabidhi jezi kwa Baraza la Michezo kwa Majeshi Tanzania kwajili ya mashindano yatakayotimua vumbi kuanzia Julai mpaka August mwaka huu.

Jezi 154 kwa Football
Jezi 84 kwa Basketball
Track suit 32
Tshirt 250

Vifaa hivyo vyenye thamani ya Milioni 16 vitasaidia ufanyikaji wa mashindano hayo kwa ufanisi mkubwa.

Kila la heri kwa majeshi yetu kwani michezi ni afya.View attachment 2984894
Daaaaahhhh.
 
Back
Top Bottom