NMB Mbagala wana huduma mbovu

Pole sana Mkuu. Hapo Mbagala Branch hawapo serious. Wana wateja wanatoka hadi Mkuranga Vikindu ila hawapo serious kabisa. Subiria mwisho wa mwezi foreni kwenye izo ATM zao Hapo.
 
Nenda branch ya tandika Mkuu hapo miyeyusho sana yaani Kuna mdada mmoja ana kaaga hapo ndani meza ya kwanza nilizinguana nae eti ataki niongee na simu ndani kwani mie mwizi wakati mie nimekuja kutoa pesa zangu nisepe wanazingua sana hapo
 
Nenda branch ya tandika Mkuu hapo miyeyusho sana yaani Kuna mdada mmoja ana kaaga hapo ndani meza ya kwanza nilizinguana nae eti ataki niongee na simu ndani kwani mie mwizi wakati mie nimekuja kutoa pesa zangu nisepe wanazingua sana hapo
Kuna dada pale enzi za korona alikua mjamzito alikua na mafua mazito. Alikua na roho mbaya hadi wateja wakawa wanamkwepa. NMB baadhi ya watu hawaitaki kabisa
 
Nmb wajirekebishe.kika siku wanasema wamepata faida kibao ila wateja wanatutreat kama mbuzi.kweli wamekosa hela za kununua vitu kwanza.unakaa kwa foleni Hadi unazimia.mbona crdb kuna viti?tutahamia equity bank sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom