Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,042
- 10,581
Not necessarily. Ni uvivu tu. Kingine Kinachowapa kichwa ni kwamba, serikali inapitishia huko mishahara ya watendaji wake na malipo mengine kama leseni za biashara na vyombo vya moto, kwa hiyo wana uhakika na customer base ya namna hiyo, mbali ya sisi ambao hatutegemei mishahara ya serikali. Ingekuwa hawana base hiyo nadhani wangetuhudumia vyema tu.Mi naona wateja ndio wamezidi capacity ya bank.