Huu ni uzi maalum na mahsusi juu ya kujadili juu ya hawa jamaa wa Kalynda na namna gani wanafanya kazi zao, pia tujuzane kwa namna gani hawa watu ni wakweli... karibu kuchangia chochote unachokijua kuhusu Kalynda E-commerce
Tuanzie hapa..Kalynda ndio nini mkuu
Kalynda ndio nini mkuu
Ndo kitu gan Kwan hikiHuu ni uzi maalum na mahsusi juu ya kujadili juu ya hawa jamaa wa Kalynda na namna gani wanafanya kazi zao, pia tujuzane kwa namna gani hawa watu ni wakweli... karibu kuchangia chochote unachokijua kuhusu Kalynda E-commerce
Weka elfu ishirini update mianane kila Saa .
Acha mambo ya utapeli
Kuna shida kubwa sana kwenye elimu yetu haswa ya msingi. Hata hueleweki hiyo Kalynda ni nini kwanza. Alafu wadau wakikwambia wewe ni tapeli unang'aka.Huu ni uzi maalum na mahsusi juu ya kujadili juu ya hawa jamaa wa Kalynda na namna gani wanafanya kazi zao, pia tujuzane kwa namna gani hawa watu ni wakweli... karibu kuchangia chochote unachokijua kuhusu Kalynda E-commerce
Hee hee hee ngoja kwanza nicheke mbongo akuite kwenye fursa kweli aaaah wapi jua hiyo ni fursana sanasana ww ndiyo........ Mtamalizia
Kuna shida kubwa sana kwenye elimu yetu haswa ya msingi. Hata hueleweki hiyo Kalynda ni nini kwanza. Alafu wadau wakikwambia wewe ni tapeli unang'aka.