Nitajuaje simu ninayotaka kununua ni ya mkopo?

Hakuna simu janja ya hali nzuri hata kiwango cha chini ya bei rahisi mkuu! Bila laki 3.5 au 4 hupati simu! Bado simu janja ni ghari kwa watu wa kipato cha chini! Unaweza kukuta ukoo mzima hakuna mtu mwenye simu ya laki 4 😂😂
Inategemeana na matumizi yako.
Kununua simu ya laki 4 kwa ajili ya kupiga, kupokea na kutuma sms hayo ni matumizi mabaya ya laki 4.
 
Back
Top Bottom