Nini kifanyike kuondoa wachuuzi Raia wa Kigeni Kariakoo?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
926
4,343
Wachina, Wakongo, wake ya, wanigeria na wazambia wamekuwa wengi sana soko la Kariakoo.

Wachina wanapoingia kwenye umachinga maana yake uchuuzi umekuwa kipaombele cha soko Tanzania. Lakini uchuuzi huu unawaondoa watanzania sokoni kwa sababu wachina wanakopeshwa bidhaa kutoka viwandani huku Watanzania wakilazimika kununua cash

Lakini pia watu hawa wanakwepa sana kulipa tozo na kodi stahili kwa sababu wanachukua stores wanazifunga then wanafungua kifrem kidogo cha kudisplay mzigo.

Wengi wao wakishukiwa wanakimbia na kujificha na hakuna wakuwachukulia hatua. Nimeona kuna extension ya kile kinachofanyika Kariakoo kimepelekwa ubungo.

Je, tunakuza uchumi au tunadidimia? Kwanini hawa wageni wasiende kwenye uwekezaji?
 
Sheria tu kuhusu raia wa kigeni na mitaji wanayo paswa kuja nayo nchini kama wanakuja kufanya shughuli za kiuchumi

Kwa kweli tunahitaji viwanda vya kati vingi nchini na hapa ndipo pa kucheza na sheria kuhusu raia wa kigeni.
 
Wachina, wakongo, wake ya, wanigeria na wazambia wamekuwa wengi sana soko la Kariakoo.

Wachina wanapoingia kwenye umachinga maana yake uchuuzi umekuwa kipaombele cha soko Tanzania . Lakini uchuuzi huu unawaondoa watanzania sokoni kwa sababu wachina wanakopeshwa bidhaa kutoka viwandani huku watanzania wakilazimika kununua cash

Lakini pia watu hawa wanakwepa sana kulipa tozo na kodi stahili kwa sababu wanachukua stores wanazifunga then wanafungua kifrem kidogo cha kudisplay mzigo.

Wengi wao wakishukiwa wanakimbia na kujificha na hakuna wakuwachukulia hatua. Nimeona kuna extension ya kile kinachofanyika Kariakoo kimepelekwa ubungo.

Je, tunakuza uchumi au tunadidimia ? Kwanini hawa wageni wasiende kwenye uwekezaji?
Mkuu uwe makini kidogo, kwa nini unasema raia wa kigeni unawaacha wamachinga.
Tatizo ulilolielezea ni la machinga wote, hawalipi kodi!
 
Wachina, wakongo, wake ya, wanigeria na wazambia wamekuwa wengi sana soko la Kariakoo.

Wachina wanapoingia kwenye umachinga maana yake uchuuzi umekuwa kipaombele cha soko Tanzania . Lakini uchuuzi huu unawaondoa watanzania sokoni kwa sababu wachina wanakopeshwa bidhaa kutoka viwandani huku watanzania wakilazimika kununua cash

Lakini pia watu hawa wanakwepa sana kulipa tozo na kodi stahili kwa sababu wanachukua stores wanazifunga then wanafungua kifrem kidogo cha kudisplay mzigo.

Wengi wao wakishukiwa wanakimbia na kujificha na hakuna wakuwachukulia hatua. Nimeona kuna extension ya kile kinachofanyika Kariakoo kimepelekwa ubungo.

Je, tunakuza uchumi au tunadidimia ? Kwanini hawa wageni wasiende kwenye uwekezaji?
Jifunze kutoka kwao mbinu mpya za biashara katika mazingira hayo ambayo wewe ukiona haiwezekani lakini wao wamekuja na wametoboa

Acha uvivu, acha ROHO mbaya ,hata wakiondoka huwezi kulifanya wakifanyacho . Jifunze mbinu mpya acha kumtegemea hirizi na Dua kuendesha biashara huku ukifunga Kila wakati mara jumapili umefunga ,mara ijumaa umefunga, mara sikuku unafunga wewe umekuja kutafuta hela au tumefanya biashara yako ya kidini? Wateja wakikukimbia unaanza kuhangaika kwa waganga, mashehe na akina mwamposa kumbe wewe mwenyewe ndio tatizo livivu lililopondukia

Wachina hawana mapumziko, hawana ijumaa hawana jumapili

Hawana sikukuu kwao ni kazi na kusaka hela

Wewe unafungua dula saa nne, ijumaa au jumapili unafunge eti ibada. Hela zote ulizokusanya unawapelekea huko ibada wanakwambia anapokea Mungu kumbe waongo wanakuombea kimagumashi. Ukifikishika wanakudanganya ni shetani kumbe hufuati mbinu za kibiashara
 
Jifunze kutoka kwao mbinu mpya za biashara katika mazingira hayo ambayo wewe ukiona haiwezekani lakini wao wamekuja na wametoboa

Acha uvivu, acha ROHO mbaya ,hata wakiondoka huwezi kulifanya wakifanyacho . Jifunze mbinu mpya acha kumtegemea hirizi na Dua kuendesha biashara huku ukifunga Kila wakati mara jumapili umefunga ,mara ijumaa umefunga, mara sikuku unafunga wewe umekuja kutafuta hela au tumefanya biashara yako ya kidini? Wateja wakikukimbia unaanza kuhangaika kwa waganga, mashehe na akina mwamposa kumbe wewe mwenyewe ndio tatizo livivu lililopondukia
Umeandika maelezo mengi ya ujinga
 
Wachina, wakongo, wake ya, wanigeria na wazambia wamekuwa wengi sana soko la Kariakoo.

Wachina wanapoingia kwenye umachinga maana yake uchuuzi umekuwa kipaombele cha soko Tanzania . Lakini uchuuzi huu unawaondoa watanzania sokoni kwa sababu wachina wanakopeshwa bidhaa kutoka viwandani huku watanzania wakilazimika kununua cash

Lakini pia watu hawa wanakwepa sana kulipa tozo na kodi stahili kwa sababu wanachukua stores wanazifunga then wanafungua kifrem kidogo cha kudisplay mzigo.

Wengi wao wakishukiwa wanakimbia na kujificha na hakuna wakuwachukulia hatua. Nimeona kuna extension ya kile kinachofanyika Kariakoo kimepelekwa ubungo.

Je, tunakuza uchumi au tunadidimia ? Kwanini hawa wageni wasiende kwenye uwekezaji?
Na wale watanzania waliopo kwenye masoko huko China wafukuzwe?
 
Muache kukopa pesa kwa mikataba y mashaliti nafuu kama taifa la TANZANIA kwa china. Ungejua maana y mikopo y riba nafuu. Ucnge leta Uzi hapa.




Kazi ni kipimo Cha utu
 
Wale wamekwenda kusaidia viwanda vya china kupata wateja Tanzania. Hawa wachina wamekuja kutake over wachuuzi wantanzania na kuwauzia direct watanzania, hao wa chuuzi wa kariakoo wakale wapi mzee?
Ndio kubadilishana kwa kimataifa kunavyokuwa, tumeruhusiwa na sisi kwenda China kufanya biashara na sisi tunapaswa kuruhusu wachina waje kwetu pia.
 
Kosa kubwa lilianza pale tulipokubali UBT iwe soko la wachina, badala ya wachina wajenge viwanda
 
Ndio kubadilishana kwa kimataifa kunavyokuwa, tumeruhusiwa na sisi kwenda China kufanya biashara na sisi tunapaswa kuruhusu wachina waje kwetu pia.
China hauruhusiwi kufanya biashara ila kwa vibali maalumu. Na sio biashara zote utafanya kule labda uwe investor mkubwa.

Biashara za kubanana na wazawa mfano viwanda au kuchukua bidhaa za kuuza kule kule hiyo hautathubutu. Ardhi kule mwiko kwa mgeni kumiliki.

Sasa sijui unaongea vitu gani hapa.
 
Back
Top Bottom