Ninahitaji mke

Habari za leo wana jf mimi ni kijana wa miaka 26 nimejitafuta kwa muda na kwa sasa nashukuru mungu niko tayari kwa ajili ya ndoa,na kifamilia na kimatunzo pia
hivyo basi naomba kufahamu kama kuna binti naweza pata humu kwa ajili tufanye maandalizi ya ndoa bila kupotezeana muda
SIFA ZA BINTI KWA UFUPI
1-awe mwaminifu
2-awe na heshima
3-awe mvumilivu
*kigezo cha ziada>ukiwa bikra itapendeza zaidi,kwa sababu hata mimi sijawahi kukutana na mwanamke kimwili
#nawasilisha.
Kama kweli wewe ni bikra na una miaka 26 Basi utakuwa umepiga nyeto Sana
 
ok ngoja niende kijijin
Ingia mtaa wa Pili hapo ukiona Msichana au Mwanamke aliezidi miaka 18 na kuendelea umemwelewa anza na neno la utani "Mchumba" hio ni code nimekupa ukiona amekuitikia kwa kukuelewa anza kushusha CV yako akikuelewa hamia hatua nyingine ya kuchukua SIM 2000 alafu baada ya hapo mambo mengine yatafuatia mbele kwa mbele
 
Habari za leo wana jf mimi ni kijana wa miaka 26 nimejitafuta kwa muda na kwa sasa nashukuru mungu niko tayari kwa ajili ya ndoa,na kifamilia na kimatunzo pia
hivyo basi naomba kufahamu kama kuna binti naweza pata humu kwa ajili tufanye maandalizi ya ndoa bila kupotezeana muda
SIFA ZA BINTI KWA UFUPI
1-awe mwaminifu
2-awe na heshima
3-awe mvumilivu
*kigezo cha ziada>ukiwa bikra itapendeza zaidi,kwa sababu hata mimi sijawahi kukutana na mwanamke kimwili
#nawasilisha.
kwa utafutaji huu wa make utakutana na gonorrhea ki urahisi sana
 
Ingia mtaa wa Pili hapo ukiona Msichana au Mwanamke aliezidi miaka 18 na kuendelea umemwelewa anza na neno la utani "Mchumba" hio ni code nimekupa ukiona amekuitikia kwa kukuelewa anza kushusha CV yako akikuelewa hamia hatua nyingine ya kuchukua SIM 2000 alafu baada ya hapo mambo mengine yatafuatia mbele kwa mbele
sawa jeshi
 
😀😀😃😃😃😄😄mchumba hatafutwi kwa kujielezea sana ,Mungu akupe haja ya moyo wako
 
Habari za leo wana jf mimi ni kijana wa miaka 26 nimejitafuta kwa muda na kwa sasa nashukuru mungu niko tayari kwa ajili ya ndoa,na kifamilia na kimatunzo pia
hivyo basi naomba kufahamu kama kuna binti naweza pata humu kwa ajili tufanye maandalizi ya ndoa bila kupotezeana muda
SIFA ZA BINTI KWA UFUPI
1-awe mwaminifu
2-awe na heshima
3-awe mvumilivu
*kigezo cha ziada>ukiwa bikra itapendeza zaidi,kwa sababu hata mimi sijawahi kukutana na mwanamke kimwili
#nawasilisha.
Kubababake humu tu humu tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom