#COVID19 NIMR yaanza utafiti wa chanjo ya COVID-19, kongole kwao

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,071
28,267
Katika hili sitakuwa mnafiki kama nitapongeza sekta ya afya.Sitakuwa mnafiki kama nitampongeza mama kwa kuupiga mwingi.
Leo kuna taarifa inasambaa mitandaoni kuwa Taasisi ya utafiti ya maswala ya tiba yaani NIMR wanaendelea na utafiti wa chanjo ya covid 19.hili ni jambo jema sana na linapaswa kusifiwa mno.
watafiti wetu wapambane usiku na mchana ili waje na chanjo hii KWA HISANI YA WATU WA TANZANIA!

Swala hili lisiwe la kisanii na wala lisichukue muda mrefu ,tupate chanjo yetu .

Suala hili ni moja ya maswala muhimu ya kumuenzi Dr John Pombe Magufuli .


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Katika hili sitakuwa mnafiki kama nitapongeza sekta ya afya.Sitakuwa mnafiki kama nitampongeza mama kwa kuupiga mwingi.
Leo kuna taarifa inasambaa mitandaoni kuwa Taasisi ya utafiti ya maswala ya tiba yaani NIMR wanaendelea na utafiti wa chanjo ya covid 19.hili ni jambo jema sana na linapaswa kusifiwa mno.
watafiti wetu wapambane usiku na mchana ili waje na chanjo hii KWA HISANI YA WATU WA TANZANIA!
Too late. Kabla hawajaipata kutatokeo gonjwa lingine na huo utafiti wao utakomea hapo. "In the kung-fu world the speed determine the winner"
 
Katika hili sitakuwa mnafiki kama nitapongeza sekta ya afya.Sitakuwa mnafiki kama nitampongeza mama kwa kuupiga mwingi.
Leo kuna taarifa inasambaa mitandaoni kuwa Taasisi ya utafiti ya maswala ya tiba yaani NIMR wanaendelea na utafiti wa chanjo ya covid 19.hili ni jambo jema sana na linapaswa kusifiwa mno.
watafiti wetu wapambane usiku na mchana ili waje na chanjo hii KWA HISANI YA WATU WA TANZANIA!

Swala hili lisiwe la kisanii na wala lisichukue muda mrefu ,tupate chanjo yetu .

Suala hili ni moja ya maswala muhimu ya kumuenzi Dr John Pombe Magufuli .

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Fedha zitapigwa
 
Tafiti za wabongo zinaendeshwa sana na matakwa ya wafadhili wala sio matakwa ya wanachi au sera za nchi husika..mana serikali ipo radhi kulipa mabilioni ya pesa kwenye majambazi na mafisadi ya kisiasa kuliko kuwekeza kwenye tafiti.absurd

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika hili sitakuwa mnafiki kama nitapongeza sekta ya afya.Sitakuwa mnafiki kama nitampongeza mama kwa kuupiga mwingi.
Leo kuna taarifa inasambaa mitandaoni kuwa Taasisi ya utafiti ya maswala ya tiba yaani NIMR wanaendelea na utafiti wa chanjo ya covid 19.hili ni jambo jema sana na linapaswa kusifiwa mno.
watafiti wetu wapambane usiku na mchana ili waje na chanjo hii KWA HISANI YA WATU WA TANZANIA!

Swala hili lisiwe la kisanii na wala lisichukue muda mrefu ,tupate chanjo yetu .

Suala hili ni moja ya maswala muhimu ya kumuenzi Dr John Pombe Magufuli .


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Uko sahihi mkuu lakini umeharibu mada yako baada ya kumtaja yule dhalimu. Yeye aliamini kwenye ushirikina badala ya science mpaka Corona ikasepa naye.
 
Ni corona katika nini - mapapai, kwale, mbuzi ama?
Katika hili sitakuwa mnafiki kama nitapongeza sekta ya afya.Sitakuwa mnafiki kama nitampongeza mama kwa kuupiga mwingi.
Leo kuna taarifa inasambaa mitandaoni kuwa Taasisi ya utafiti ya maswala ya tiba yaani NIMR wanaendelea na utafiti wa chanjo ya covid 19.hili ni jambo jema sana na linapaswa kusifiwa mno.
watafiti wetu wapambane usiku na mchana ili waje na chanjo hii KWA HISANI YA WATU WA TANZANIA!

Swala hili lisiwe la kisanii na wala lisichukue muda mrefu ,tupate chanjo yetu .

Suala hili ni moja ya maswala muhimu ya kumuenzi Dr John Pombe Magufuli .


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
NIMR ni rubbish institution. Hakuna haja ya kutafiti chanjo. Wangekuwa serious mpaka sasa tungekuwa hata na dawa za malaria au malaria isingekuwepo nchini.
 
Uko sahihi mkuu lakini umeharibu mada yako baada ya kumtaja yule dhalimu. Yeye aliamini kwenye ushirikina badala ya science mpaka Corona ikasepa naye.
Inaonekana alikujambisha sana duuuh hadi unaota ukijifungua hahahah
 
Corona kwa sasa sio tishio sana, Chanjo mbalimbali zenye ubora wa kimataifa zimejaa duniani, kuna mamilioni ya chanjo za msaada zimejaa kwenye mastoo ya hospitali hapa Tz, mpaka mengine yamekwisha muda wake (expire) na watu hawana tena muda wa kuchanja, sasa NIMR wanatafiti kutengeneza chanjo ili iweje?
Huu ni upumbavu mkubwa.
 
Corona kwa sasa sio tishio sana, Chanjo mbalimbali zenye ubora wa kimataifa zimejaa duniani, kuna mamilioni ya chanjo za msaada zimejaa kwenye mastoo ya hospitali hapa Tz, mpaka mengine yamekwisha muda wake (expire) na watu hawana tena muda wa kuchanja, sasa NIMR wanatafiti kutengeneza chanjo ili iweje?
Huu ni upumbavu mkubwa.
Nimr ni taasisi ya kipigaji kama taasisi nyingize zaumma..hawana tija kwa taifa hili..wanaandika maandiko waombe pesa za wazungu kisha wazitumbue.

Hii nchi sio ya kuhangaika na magonjwa ya kuambukiza hadi leo hii.

Sasahivi yasio ambukiza nayo yanakuja juu..yani tunakuwa na double budern of diseases katika nchi hii.

Usipo wekeza kwenye prevention sahau kutokomeza magonjwa.

Wizara ya afya naayo imejaa vilaza walio na phd.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hivi kuna mrejesho wa gharama zilizotumika katika huu utafiti na umetuletea tija gani ?
 
Back
Top Bottom