Gentleman 446
Senior Member
- Mar 26, 2021
- 112
- 400
Wataalamu wa maswala ya afya njooni mnipe maujuzi apa...
Leo ni siku ya 14 tokea nimeyatimba nilijichanganya kwa malaya mmoja mwezi uliopita katika harakati za mtu mweusi kujipatia utamu condom ilipasuka katikati ya tendo, nilipohisi utofauti haraka sana nikakatisha zoezi na kuwahi kujisafisha
Ukweli ni kwamba amani iliondoka kabisa asubuhi sana nikawahi kuchukua LA75 PEP nimetumia kwa siku 14 na ninatakiwa nitumie siku 28 tatizo ni kwamba najisikia uvivu kwenda kumalizia izo 14 zilizobaki, vipi wataalamu nikiishia hapa kuna tatizo?
Leo ni siku ya 14 tokea nimeyatimba nilijichanganya kwa malaya mmoja mwezi uliopita katika harakati za mtu mweusi kujipatia utamu condom ilipasuka katikati ya tendo, nilipohisi utofauti haraka sana nikakatisha zoezi na kuwahi kujisafisha
Ukweli ni kwamba amani iliondoka kabisa asubuhi sana nikawahi kuchukua LA75 PEP nimetumia kwa siku 14 na ninatakiwa nitumie siku 28 tatizo ni kwamba najisikia uvivu kwenda kumalizia izo 14 zilizobaki, vipi wataalamu nikiishia hapa kuna tatizo?