Nimeona magari yanakuwa na Plate Number Nyeusi, in amaana gani?

kama hii
20240325_182307.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni hatari sana. Raia taifa ni letu ila hatujui taarifa za vitu ambavyo vinakatiza mitaani mwetu, vipi kama hizi namba zinahatarisha usalama wetu.
 
Back
Top Bottom