Pole sana mkuu. Bado una nafasi ya kumfanya afurahie matunda yako.Nimempoteza baba yangu mzazi
Sijui hata nisemeje
Baba ndo.alikua kila kitu kwangu
Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi
Nimebaki yatima mimi
Kuna emoji ya kucheka. Hebu itoe. Nimeifikia nikatamani kucheka nikakumbuka kisa ni cha huzuni.Nimempoteza baba yangu mzazi
Sijui hata nisemeje
Baba ndo.alikua kila kitu kwangu
Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi
Nimebaki yatima mimi
Pole mkuu ila tunaambiwa tushukulu kwa kila jambo sijajua imani yako iko upande gani ila unaweza ukawa unamsomea dua na kumtolea sadaka marakwa mara swahabu zikamfikia huko alipo na huko ndo kukawa muhimu sana kwake ndo kula kwenyewe ndo maana tumeambiwa tuache watoto walio wema kwaiyo mkuu kuwa upande watoto aliye mwema pole sanaNimempoteza baba yangu mzazi
Sijui hata nisemeje
Baba ndo.alikua kila kitu kwangu
Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi
Nimebaki yatima mimi
Pole sana...Nimempoteza baba yangu mzazi
Sijui hata nisemeje
Baba ndo.alikua kila kitu kwangu
Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi
Nimebaki yatima mimi
Pole sanaNimempoteza baba yangu mzazi
Sijui hata nisemeje
Baba ndo.alikua kila kitu kwangu
Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi
Nimebaki yatima mimi
Pole sana kwa kumpoteza mzazi wako. Tumwombee mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake pema peponi.Nimempoteza baba yangu mzazi
Sijui hata nisemeje
Baba ndo.alikua kila kitu kwangu
Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi
Nimebaki yatima mimi
Pole sana kupoteza,Nimempoteza baba yangu mzazi
Sijui hata nisemeje
Baba ndo.alikua kila kitu kwangu
Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi
Nimebaki yatima mimi
Pole sana mkuu Mungu akutie nguvuNimempoteza baba yangu mzazi
Sijui hata nisemeje
Baba ndo.alikua kila kitu kwangu
Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi
Nimebaki yatima mimi