Nimekonda sana, naomba ushauri nifanyaje nirudishe kilo zangu haraka

Happy new year beautiful people.

Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.

Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).

NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)

Natanguliza shukrani
Sasa mkuu una kata mwezi mzima huwez nunua suppu ya buku mbilj na chapati mbili HV utanenepa Kweli
 
Pole
Una appetite?
Saga lishe kama ya mtoto Ile weka ulezi,korosho,mahindi, lozi na iliki
Uwe unapika uji unakunywa uweke na siagi na maziwa

Utengeneze smoothie zenye maziwa na matunda tofauti ila ndizi mbivu isikose
Kula sana ila zingatia balance diet maana unaweza ukafumuka vibaya sana

Ila pia hakikisha hela unayo maana kama huna hata ukinywa mafuta kila siku hutonenepa ng'o
Jana nimempa mtu hizo ingridients zako na yeye akaniongezea na mchele na mbegu za maboga kanitengenezea unga mzuri.

Jana jioni nimeupika nikaweka na maziwa fresh na ya unga kuongeza ladha yaani ni mtamu hatari 😁 halafu unanunikia vizuri sana.
Leo nishakunywa vikombe viwili na pia nahisi unaleta hamu ya kula coz leo najihisi njaa njaa tu.
 
Jana nimempa mtu hizo ingridients zako na yeye akaniongezea na mchele na mbegu za maboga kanitengenezea unga mzuri.

Jana jioni nimeupika nikaweka na maziwa fresh na ya unga kuongeza ladha yaani ni mtamu hatari 😁 halafu unanunikia vizuri sana.
Leo nishakunywa vikombe viwili na pia nahisi unaleta hamu ya kula coz leo najihisi njaa njaa tu.
Uko Huwa una njaa
 
Happy new year beautiful people.

Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.

Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).

NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)

Natanguliza shukrani
watu ambao wanazingatia sana afya ndio wanakumbwaga na kashkash kama zako... ishi tu jiachie!
 
Happy new year beautiful people.

Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.

Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).

NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)

Natanguliza shukrani
unauzito gan na urefu ghn?
 
Hayo magonjwa yote yamepona mkuu kasoro ACID REFLUX,huo ninao toka niko mtoto,hauna tiba so far. Haujawahi kunikondesha.
Okay pole. Severe Gastritis kwasababu ya acid inaweza kuingilia mmeng'enyo wa chakula
 
Back
Top Bottom