KERO Nimejileta mwenyewe TRA kulipa kodi ila vikwazo ni vingi sana!

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Lavit

JF-Expert Member
May 16, 2011
13,416
27,947
Hizi ofisi za umma zina shida sana, leo nimeamka mapema sana nikasema acha nije wanikadirie ili nilipe kodi yao.

Shida inaanza wananiambia TIN haisomi location ya hapo kwao hivyo inabidi niihamishe, nimeingia online nimesubmitt request bado wananiambia haiwezi kuhama lazima niende huko ilipokuwa mwanzo, sasa dunia hii ya utandawazi mimi nisafiri zaidi ya km 1000 kubadili location ya TIN, sasa wameweka huduma online kwa ajili ya nini?

Hawa wafanyakazi wapo wapo tu naona sababu hawana cha kupoteza, wanasumbua watu halafu mwisho wa siku waje wafunge biashara!
 
Hizi ofisi za umma zina shida sana, leo nimeamka mapema sana nikasema acha nije wanikadirie ili nilipe kodi yao.

Shida inaanza wananiambia TIN haisomi location ya hapo kwao hivyo inabidi niihamishe, nimeingia online nimesubmitt request bado wananiambia haiwezi kuhama lazima niende huko ilipokuwa mwamzo,sasa dunia hii ya utandawazi mimi nisafiri zaidi ya km 1000 kubadili location ya TIN, sasa wameweka huduma online kwa ajiri ya nini?

Hawa wafanyakazi wapo wapo tu naona sababu hawana cha kupoteza, wanasumbua watu alafu mwisho wa siku waje wafunge biashara!
Tunahitaji tuwe na ajira ya mkataba haya mambo ya mtu akiwa kazini mpaka afikishe miaka 60 tuachane nayo.
 
Hizi ofisi za umma zina shida sana, leo nimeamka mapema sana nikasema acha nije wanikadirie ili nilipe kodi yao.

Shida inaanza wananiambia TIN haisomi location ya hapo kwao hivyo inabidi niihamishe, nimeingia online nimesubmitt request bado wananiambia haiwezi kuhama lazima niende huko ilipokuwa mwanzo, sasa dunia hii ya utandawazi mimi nisafiri zaidi ya km 1000 kubadili location ya TIN, sasa wameweka huduma online kwa ajili ya nini?

Hawa wafanyakazi wapo wapo tu naona sababu hawana cha kupoteza, wanasumbua watu halafu mwisho wa siku waje wafunge biashara!
mwanachi mwenzangu nikupe ushauri tu ili wakubwa wa hizo ofisi wakusaidie najua tra wapo humu jamiiforum. weka mawasiliano yako iwe rahisi kukutafuta huwezi jua kuliko ukiacha hivi wenye nia ya kukusaidia watashindwa maana hukuweka mawasiliano
 
Hizi ofisi za umma zina shida sana, leo nimeamka mapema sana nikasema acha nije wanikadirie ili nilipe kodi yao.

Shida inaanza wananiambia TIN haisomi location ya hapo kwao hivyo inabidi niihamishe, nimeingia online nimesubmitt request bado wananiambia haiwezi kuhama lazima niende huko ilipokuwa mwanzo, sasa dunia hii ya utandawazi mimi nisafiri zaidi ya km 1000 kubadili location ya TIN, sasa wameweka huduma online kwa ajili ya nini?

Hawa wafanyakazi wapo wapo tu naona sababu hawana cha kupoteza, wanasumbua watu halafu mwisho wa siku waje wafunge biashara!
Wakibinafsishwa wanalalamika ingekuwa hela inaenda kwa private entity ingeshapokelewa zamani, hii nchi ngumu sana, mi nawashangaa wanaopinga dp world , ofisi za umma zinahitaji mabadiliko kwenye uendeshwaji
 
Wakibinafsishwa wanalalamika ingekuwa hela inaenda kwa private entity ingeshapokelewa zamani, hii nchi ngumu sana, mi nawashangaa wanaopinga dp world , ofisi za umma zinahitaji mabadiliko kwenye uendeshwaji
Kweli kabisa,private wasingeruhusu hata Vodacom tu hapo hawawezi ruhusu eti urudi na hela nyumbani, memtality yao wanaamini mpaka nimewafata basi nimekwama mahali na ni shida sana na hiyo tax clearance yao,kwahiyo wanajua nitarudi tu.

Wameweka hizo namba za customer care ni upuuzi mtupu!
 
mwanachi mwenzangu nikupe ushauri tu ili wakubwa wa hizo ofisi wakusaidie najua tra wapo humu jamiiforum. weka mawasiliano yako iwe rahisi kukutafuta huwezi jua kuliko ukiacha hivi wenye nia ya kukusaidia watashindwa maana hukuweka mawasiliano
Namba zao napiga hawapokei, humu ndo nitapata huo msaada?
 
Kina siku kuna mtu alinunua mzigo wa karibu lakin 6 na kitu kariakoo akaambiwa na VAT inaongezeka 120,000 Ila kama sio na VAT analipa tu gharama za kawaida.Jamaa akaona bila VAT ni vema.Je ingekuwa wewe ungeamua kuwa mzalendo au ushiriki tu kukwepa kodi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom