Bedui la bongo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 297
- 306
Kuna risiti nmeiona hapa morogoro niliponunua mbuzi sasa ilivyoandika ushuru wa mbuzi 1000 halafu baadae imeandikwa goat 1500 jumla elfu 2500 sasa goat nini na mbuzi nini hapo wakuu sijaelewa.
Dah..mkuu watu wanajua kulaUmenunua mbuzi na goat
Aisee ni kweliGreatest Of All Time-GOAT
Sasa ya ziada matumizi yake ya nn wakati mm nmenunua mmoja tuLabda kushiriki tu unatoa 1000. Kwa kila mbuzi atakayeuzwa unatoa 1500 ya ziada. Mf mbuzi 4 jumla 7000
umenunua kwa kiswahili na kwa kizungu
Mjini mipangoKuna risiti nmeiona hapa morogoro niliponunua mbuzi sasa ilivyoandika ushuru wa mbuzi 1000 halafu baadae imeandikwa goat 1500 jumla elfu 2500 sasa goat nini na mbuzi nini hapo wakuu sijaelewaView attachment 2205905View attachment 2205906
y=1500x+1000.Sasa ya ziada matumizi yake ya nn wakati mm nmenunua mmoja tu
🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂umenunua kwa kiswahili na kwa kizungu
Hii nchi bila wananchi kuamka huu ujinga hautaisha. Wangekuwa angalau ushuru kama huo wanafanyia kazi za maendeleo kusingekuwa na shida. Hizo fedha unakuta ni mkuu wa wilaya ameweka kimada wake sehemu anazitumia kumlisha.Dah..mkuu watu wanajua kula
🔥🔥Greatest Of All Time-GOAT
Usiwaambie watu sasa umeona peke akoWakati nazoom hiyo risiti nikakutana na kidole chako
😉 sawaUsiwaambie watu sasa umeona peke ako