Nimegundua haya

mwanadamu ni roho, hiyo ndiyo itakayohukumiwa, mwili huu ni mavumbi tu, hivyo hata mwili huu ukifa roho huwa haifi, huwa inaenda mahali pale unapostahili,kama ulimpa Yesu Maisha utaenda mbinguni kama haukumpa Yesu maisha ni motoni. Nakushuhudia hii leo kwamba, mimi sio mchungaji, wala nabii wala yeyote, ni mtu wa kawaida kabisa, ila Mungu amenifanya niyasema yale ambayo yatawafanya wengi wapone, ni sauti ya Mungu, anaweza kutumia yeyote hata mtu asiyefaa kama mimi, mtu aliyehurumiwa kama mimi, mtu aliyekuwa mwenye dhambi, aliyekuwa mzinzi, aliyekuwa zurumati aliyekuwa wa ajabu ajabu kama mimi, ananitumia kuwaletea hii habari njema.

ya kwamba Yesu Kristo alikufa akalipa garama ya dhambi na ukombozi kwa ujumla kwa mwanadamu, akaweka hiari mbele yetu, ukitaka kupona mwamini na kabidhi maisha kwa Yesu aliyelipa deni la dhambi sasa, na kama hautaki, ni hari yako, baki katika dhambi ila kuna siku atakuwa kuihukumu hii dunia, watu wataungua moto.

wale waliopotosha wengi wataungua moto pia, manabii wa uongo mliosababisha hadi watu hawaokoki kwa sababu ya utapeli wenu, mtakunywa kikombe cha haki sawasawa na yale mliyoyatenda. pia hata ninyi mnaolisikia sauti ya wokovu na mnakuwa na mioyo migumu, hamtakuwa na la kujitetea kwasababu mlishasikia mkakataa kwa kisingizio ati wapo manabii wa uongo duniani. sasa manabii wa uongo hata Yesu alisema watakuwepo, kwahiyo unataka ukaungue moto pamoja nao au wewe unataka uokoke binafsi? mimi sihitaji sadaka, huwa sipokei sadaka, sina kanisa sina chochote, ila ujumbe huu nashukuru kwamba umekufikia na nimenawa mikono. unamhitaji Mungu zaidi ya vile unavyoelewa, usisubiri upate shida ndio umrudie, sasahivi wakati amekujalia uzima mrudie yeye, muda ungalipo,nafasi ingalipo. ukiona mtumishi yeyote amefanya dhambi, usimfuate yeye fuata Neno la Mungu kwasababu kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe, wewe utabeba wa kwako, na manabii wa kwao, ila Neno la Mungu linakutaka uokoke, mpe Yesu Maisha ili upone hukumu ya milele. Mungu akusaidie.
uongo na vitisho hizo story zahovyo tu.! yesu alikua mtu wa taifa gani.? kwani hakuna naabii mswahili kwenye hivyo vitabu vyadini.? kwanin manabii wote watoke eneo moja tu.?
 
uongo na vitisho hizo story zahovyo tu.! yesu alikua mtu wa taifa gani.? kwani hakuna naabii mswahili kwenye hivyo vitabu vyadini.? kwanin manabii wote watoke eneo moja tu.?
avatar yako tu inakuonyesha wewe ni ibilishi mjaaa laana. kama ni mwanadamu Mungu akurehemu, ila kama ni lishetani lenyewe limevaa mwili wa mwanadamu, ushindwe kwa Jina la Yesu Kristo.
 
avatar yako tu inakuonyesha wewe ni ibilishi mjaaa laana. kama ni mwanadamu Mungu akurehemu, ila kama ni lishetani lenyewe limevaa mwili wa mwanadamu, ushindwe kwa Jina la Yesu Kristo.
😂 aya mtumishi. embu nena kwa lugha nisikie utapeli wenu
 
Hizi imani potofu za kuaminisha watu hakuna MUNGU wala hakuna hukumu baada ya kifo zinazidi kupamba moto.

Acha niiishi vema kwa kutenda mema, kama nikienda huko nisimkute Mungu sitapata hasara, ili nikimkuta wakati nilimkana huku duniani hakika itakuwa hatari.
Itakuwa umepata hasara kwa kuabudu kitu kisichokuwepo maisha yako yote kujinyima mengi kwa hofu ya uwepo wa mungu kumbe hakuna kitu hilo ni bonge la hasara
 
ni kwasababu unaishi kimwili, ndio maana unafikiri kimwili, shetani ameushika ufahamu wako, amekutwika kiburi, kiwe cha elimu au pesa au exposure au vyovyote, ndio maana hauamini kwamba kuna maisha baada ya kifo. Laiti ungalijua kwamba hata hapahapa duniani wapo watu wengi sana pamoja na kuishi kimwili, wanaishi kiroho na kuoperate kiroho pia, sasaivi wewe umelala wapo watu wanaoperate spiritually kabisa kwa kusafiri na kufanay shughuli mbalimbali ila miili yao imelala kwenye kitanda kwao.

zaidi ya yote, Biblia imeeleza wazi, Yesu mwenyewe alieleza kwamba kuna maisha baada ya kufa. na kwa kudhihirisha zaidi, yeye alikufa na siku ya tatu akafufuka, hivyo aliongea kulingana na experience, hizi sio story za abunuasi, ni vitu halisi ambavyo unatakiwa kuvitafakari usiku na mchana. Uelewe kuna maisha mengine baada ya haya ambayo unaweza aidha kwenda uzimani au motoni, uchaguzi ni wako.

Ili upone, unatakiwa kumpokea Yesu Kristo awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako, utapata uzima wa milele hapa duniani na baada ya maisha haya, huu ni ushauri wangu kwako kabla haujaburutwa siku moja uokoke kwa nguvu, though wapo watu ambao unawezafikiri pengine waliandikiwa mauti kwasababu hata uwahubirie vipi hawaamini, wabishi tu, ila ni kwasababu ya kiburi cha uzima ambao Mungu mwenyewe ndio amewapa. Mungu akurehemu.
Hakuna kifo duniani we are infinite entities,mwili ndo unakufa sisi tunabaki we are beings without form tunabadilisha tu mazingira leo tupo frequency ya wasafi miili ikifa tunahamia clouds very simple
 
Hakuna kifo duniani we are infinite entities,mwili ndo unakufa sisi tunabaki we are beings without form tunabadilisha tu mazingira leo tupo frequency ya wasafi miili ikifa tunahamia clouds very simple
pole sana, kipofu aliye kiziwi. Mungu akufumbue macho pengine utaipona ile hukumu ya jehanum iliyo karibu kuujia ulimwengu wote.
 
Habari wakuu

1. Binadamu hawafi, miili ndo hufika mwisho kuoperate

2. Sisi ni immortals/spiritual beings hatufii

3. Hakuna motoni wala mbinguni

4. Sio kila mwenye mwili wa mtu ni binadamu,wengine ni chitauli/aliens na wengine mijusi/reptilia

5. Tunaishi kwenye duara la maisha,tukitoka kwenye miili iliyokufa tunarudi tena kwenye miili inayozaliwa,tunafutwa kumbukumbu na roho kama sisi zenye ufahamu kubwa ambazo hazina upendo na hekima,kituo chao kimoja duniani kipo chini ya mlima ruwenzori

6. Kila mtu ni mchawi sema hajui kuutumia au kuuamsha na uwe mbaya au mzuri ni uamuzi wako

7. Vitabu vyote vya dini vimetokea mashariki ya kati ni vimeandikwa na wakufunzi wa shule za ajabu za misri/kemeti wenye kabila la levi/wayahudi wa zamani

8. Sisi tumetokea kwenye utupu mkuu kama roho ila miili tuliiumba kama majaribio ,kuna muda tuliiva tukashindwa kujitoa

9. Dunia ni jela ya roho za ulimwengu mwingine ambazo hukaa ndani ya miili maisha yao yote kutoka kwa maiti na kurudi kwa vichanga

10. Wazungu ni breed ya watoto wa chitauli na mwanamke wa kiafrika

11. DNA zote za wanawake duniani zina link africa

12. Tumechanganyiwa DNA ndo maana hatujui tumetoka wapi,kwanini tupo hapa na tunaelekea wapi

13. Tulikuwa na teknologia mara 1000 ya sasa,hatukuwa nyani wala hatukuumbwa na Mungu.

14. Mungu maana yake ''aliyeshuka toka angani'',ndio asili ya neno hilo wakimaanisha kiumbe wa ajabu mwenye uwezo wa kuua na kufufua,kuumba na kupoteza mf.chitauli,draco na wengine

15. Tunajua kila kitu ila tumefumbwa ufahamu,kila tunapotoka kwenye maiti tunafutwa kumbukumbu na kurudi tena japo bado duniani pia si kwetu.

16. Ukifa ukiona mwanga usielekee huko nenda upande wenye giza ndipo utajitoa kwenye hili gereza,ukifata mwanga utanasa kwenye neti za roho za kufuta memory na utarudi

Wewe je
Aloo nimecheka sana 🤣🤣🤣
 
Habari wakuu
1. Binadamu hawafi ,miili ndo hufika mwisho kuoperate

2. Sisi ni immortals/spiritual beings hatufii

3. Hakuna motoni wala mbinguni

4. Sio kila mwenye mwili wa mtu ni binadamu,wengine ni chitauli/aliens na wengine mijusi/reptilia

5. Tunaishi kwenye duara la maisha,tukitoka kwenye miili iliyokufa tunarudi tena kwenye miili inayozaliwa,tunafutwa kumbukumbu na roho kama sisi zenye ufahamu kubwa ambazo hazina upendo na hekima,kituo chao kimoja duniani kipo chini ya mlima ruwenzori

6. Kila mtu ni mchawi sema hajui kuutumia au kuuamsha na uwe mbaya au mzuri ni uamuzi wako

7. Vitabu vyote vya dini vimetokea mashariki ya kati ni vimeandikwa na wakufunzi wa shule za ajabu za misri/kemeti wenye kabila la levi/wayahudi wa zamani

8. Sisi tumetokea kwenye utupu mkuu kama roho ila miili tuliiumba kama majaribio ,kuna muda tuliiva tukashindwa kujitoa

9. Dunia ni jela ya roho za ulimwengu mwingine ambazo hukaa ndani ya miili maisha yao yote kutoka kwa maiti na kurudi kwa vichanga

10. Wazungu ni breed ya watoto wa chitauli na mwanamke wa kiafrika

11. DNA zote za wanawake duniani zina link africa

12. Tumechanganyiwa DNA ndo maana hatujui tumetoka wapi,kwanini tupo hapa na tunaelekea wapi

13. Tulikuwa na teknologia mara 1000 ya sasa,hatukuwa nyani wala hatukuumbwa na Mungu.

14. Mungu maana yake ''aliyeshuka toka angani'',ndio asili ya neno hilo wakimaanisha kiumbe wa ajabu mwenye uwezo wa kuua na kufufua,kuumba na kupoteza mf.chitauli,draco na wengine

15. Tunajua kila kitu ila tumefumbwa ufahamu,kila tunapotoka kwenye maiti tunafutwa kumbukumbu na kurudi tena japo bado duniani pia si kwetu.

16. Ukifa ukiona mwanga usielekee huko nenda upande wenye giza ndipo utajitoa kwenye hili gereza,ukifata mwanga utanasa kwenye neti za roho za kufuta memory na utarudi

Wewe je
Kuna baadhi ya vitu unatakiwa utoe PROOF, nje ya hapo vitabaki kuwa imani tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom