Inasemekana huyu bwana elnino hayuko hai kwa sasa. Akipata hasara kubwa msimu wa kwanza tu akaamua kujinyonga. Chezea kilimo wewe!MR Mambo vipi baada ya kusoma hili andiko lako nimeshawishika nikuulize kuuhusu hili kwa sasa unaweza mshauri nini mtu anayetaka kuwekeA katika kilimo kwa xbbu sasa naamini ujuzi na uzoefu wa kutosha unao
Kilimo unaweza kuvuna mqvuno mengi ukakosa, ama soko likawepo lkn mazao yakagoma. Hapo bado siasa haijaingilia kati.