I LOVE YOU DUCE
Member
- Mar 21, 2024
- 24
- 117
. Tupendane wa tz
kweli kwa hapa DUCE wamepata msomi .Leo tukiwa kwenye kikoa Cha viongozi wa Casfeta hapa Mlimani, kikao kilianza Mida ya kumi na tulikuwa watu (viongozi kumi) wasichana sita na boys 4.
Basi kipindi kikao kinaendelea nikatoka kijambo cha hatari chenye sauti mbwiiiiiiitatatatatata tena kikanuka chumba kizima.
Bahati mbaya sana moja wa kiongozi ni binti nayempenda, hapa nipo nawaza sijui atanikubali.
Nime abika sana Aisee, Kesho Ibadan uso wangu tauweka wapi Mimi.
Kulifuta!Mkuu unafahamu ukishaweka bandiko lako humu haiwezekani kulifuta!!?
Mlimani ndio wapi kwanza? ni mlimani City, mlima wa moto kwa mwamposa, mlimani mtaani kwako au ni wapi hasa?Leo tukiwa kwenye kikoa Cha viongozi wa Casfeta hapa Mlimani, kikao kilianza Mida ya kumi na tulikuwa watu (viongozi kumi) wasichana sita na boys 4.
Basi kipindi kikao kinaendelea nikatoka kijambo cha hatari chenye sauti mbwiiiiiiitatatatatata tena kikanuka chumba kizima.
Bahati mbaya sana moja wa kiongozi ni binti nayempenda, hapa nipo nawaza sijui atanikubali.
Nime abika sana Aisee, Kesho Ibadan uso wangu tauweka wapi Mimi.
Umeweka kufuli pm, nahitaji huduma yako mkuu, nakuomba pm unipe beiKaribu mkuu ,available 24/7