Kama nilivyo waambia wakuu nimesoma degree ya Accounting and Finance jana nimeandaa barua 9 kwa ajili ya kusambaza kwenye taasisi mbali mbali hapa Arusha ili kuomba internship ila zilizo pokelewa ni tatu zingine 6 nimerudi nazo.
Taasisi za serikali nilizoenda wengine wamesema hawanaga internship wengine wanasema wanachukua watu kupitia Taesa na Taesa nilifanya training miezi 8 iliyopita ila hawajawahi kuniita hadi leo
Wakuu najisikia kukata tamaa natamani hata nisingekuwa na exist hapa duniani Arusha yote hii nimekosa intern?
Pia, soma=> Kesho nina mpango wa kutembea jiji zima kuomba internship, naombeni ushauri
Taasisi za serikali nilizoenda wengine wamesema hawanaga internship wengine wanasema wanachukua watu kupitia Taesa na Taesa nilifanya training miezi 8 iliyopita ila hawajawahi kuniita hadi leo
Wakuu najisikia kukata tamaa natamani hata nisingekuwa na exist hapa duniani Arusha yote hii nimekosa intern?
Pia, soma=> Kesho nina mpango wa kutembea jiji zima kuomba internship, naombeni ushauri