Nilitarajia CHADEMA wangetumia msiba wa Lowasa kuiomba msamaha familia yake

Habari zenu wanaJF wenzangu

Kwanza natoa pole kwa familia ya mzee wetu hayati Edward Lowasa kwa kuondokewa na kipenzi chao, natoa pole pia kwa watanzania wenzangu kwa kuondokewa na aliewahi kuwa waziri mkuu wetu hayati Edward Lowasa.

Ki ukweli huu msiba umewashtua wengi wakiwemo ndugu zake, marafiki zake na hata maadui zake. Hivyo haishangazi kuona kila mtu anauzungumzia msiba huu.

Lakini pamoja na yote kuna hili jambo la mtu ambae aliwahi kuonesha chuki za wazi kwa hayati Edward Lowasa enzi za uhai wake, eti leo anajifanya ni mwema wake na rafiki yake ambae ameguswa mno na kifo chake 😳😳.

Hivi umeshawahi kuona wapi mtu ambae anakuombea mabaya, siku ukiyapata hayo mabaya eti anakuja tena kusikitika. Huu kama sio unafiki ni nini!!

Sawa inafahamika vizuri kwamba nguzo kuu za siasa ni (1) uongo (2) unafiki (3) na uzushi. Lakini inapotokea pale uliemzushia jambo amefariki, huku ukiwa unajua kuwa ulichomzushia hakina ukweli wowote, basi ni vizuri kuiomba msamaha familia yake ili kuwaondoa ile kumbukumbu mbaya walionayo kichwani mwao kuhusu uzushi uliomzushia ndugu au baba yao.

Kwenda kujing'ang'aniza kutoa machozi ili kuwahadaa baadhi ya watu wasiozijua nguzo za siasa nilizozitaja hapo juu, haitasaidia kuondoa dhana mbaya walizonazo watoto wa marehemu.

Nafikiri toka zamani kiongozi wetu alikuwa anataka Lowasa na yeye achomwe moto kama wanavyochomwa vibaka, ila Mungu hakuruhusu hilo litokee kamwe.

Picha zinaeleza kila kitu, na bahati nzuri mwenyewe anakiri kuwa kuna unafiki unafanyika msibani.
View attachment 2901449View attachment 2901450
RIP ndugu Edward Lowasa
Mbele yako, nyuma yetu.

View: https://www.youtube.com/watch?v=TNHN7p1KpXU
 
Ungesema bila Chadema kumchafua 2008 to 2015 Lowasa angekuwa raisi wa JMT.

Kashfa na madongo aliyokuwa anatupiwa na Chadema nchi nzima kuliifanya CCM iogope kumpitisha awe mgombea wao. Maana ingeangukia pua kutokana na kashfa za mgombea wake (Lowasa) plus na chama kilikuwa kishachokwa.

So viongozi wa Chadema wamechangia pakubwa kuififisha ndoto ya Lowasa kuwa raisi wa Tz.
Aliyemchafua lowassa ni mwakyembe,JK na Nape
 
Kwani waliosema mnapeleka maiti Ikulu ni akina nani ????????
Kosa moja halihalalishi lingine mkuu. Wote wamemchafua na kumfedhehesha nchi nzima kwa kumtwisha zigo la ufisadi ambao hakuufanya.

Sasa hapa wale walioanzisha uchafuzi huo ndo wanatakiwa waanze kumuomba msamaha, alafu wengine nao wafuate.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Kwanza natoa pole kwa familia ya mzee wetu hayati Edward Lowasa kwa kuondokewa na kipenzi chao, natoa pole pia kwa watanzania wenzangu kwa kuondokewa na aliewahi kuwa waziri mkuu wetu hayati Edward Lowasa.

Ki ukweli huu msiba umewashtua wengi wakiwemo ndugu zake, marafiki zake na hata maadui zake. Hivyo haishangazi kuona kila mtu anauzungumzia msiba huu.

Lakini pamoja na yote kuna hili jambo la mtu ambae aliwahi kuonesha chuki za wazi kwa hayati Edward Lowasa enzi za uhai wake, eti leo anajifanya ni mwema wake na rafiki yake ambae ameguswa mno na kifo chake 😳😳.

Hivi umeshawahi kuona wapi mtu ambae anakuombea mabaya, siku ukiyapata hayo mabaya eti anakuja tena kusikitika. Huu kama sio unafiki ni nini!!

Sawa inafahamika vizuri kwamba nguzo kuu za siasa ni (1) uongo (2) unafiki (3) na uzushi. Lakini inapotokea pale uliemzushia jambo amefariki, huku ukiwa unajua kuwa ulichomzushia hakina ukweli wowote, basi ni vizuri kuiomba msamaha familia yake ili kuwaondoa ile kumbukumbu mbaya walionayo kichwani mwao kuhusu uzushi uliomzushia ndugu au baba yao.

Kwenda kujing'ang'aniza kutoa machozi ili kuwahadaa baadhi ya watu wasiozijua nguzo za siasa nilizozitaja hapo juu, haitasaidia kuondoa dhana mbaya walizonazo watoto wa marehemu.

Nafikiri toka zamani kiongozi wetu alikuwa anataka Lowasa na yeye achomwe moto kama wanavyochomwa vibaka, ila Mungu hakuruhusu hilo litokee kamwe.

Picha zinaeleza kila kitu, na bahati nzuri mwenyewe anakiri kuwa kuna unafiki unafanyika msibani.
View attachment 2901449View attachment 2901450
RIP ndugu Edward Lowasa
Mbele yako, nyuma yetu.
Mtu wa kwanza kuiomba msamaha familia ya Lowassa anatakiwa awe Nape na Makonda,
 
Unajuaje kama hawakuombana msamaha kabla ya kumkaribisha Chadema...

Maana hizo kauli ulizoziweka ilikuwa kabla ya Mzee Lowassa kujiunga na UKAWA/Chadema...

Habari zenu wanaJF wenzangu

Kwanza natoa pole kwa familia ya mzee wetu hayati Edward Lowasa kwa kuondokewa na kipenzi chao, natoa pole pia kwa watanzania wenzangu kwa kuondokewa na aliewahi kuwa waziri mkuu wetu hayati Edward Lowasa.

Ki ukweli huu msiba umewashtua wengi wakiwemo ndugu zake, marafiki zake na hata maadui zake. Hivyo haishangazi kuona kila mtu anauzungumzia msiba huu.

Lakini pamoja na yote kuna hili jambo la mtu ambae aliwahi kuonesha chuki za wazi kwa hayati Edward Lowasa enzi za uhai wake, eti leo anajifanya ni mwema wake na rafiki yake ambae ameguswa mno na kifo chake 😳😳.

Hivi umeshawahi kuona wapi mtu ambae anakuombea mabaya, siku ukiyapata hayo mabaya eti anakuja tena kusikitika. Huu kama sio unafiki ni nini!!

Sawa inafahamika vizuri kwamba nguzo kuu za siasa ni (1) uongo (2) unafiki (3) na uzushi. Lakini inapotokea pale uliemzushia jambo amefariki, huku ukiwa unajua kuwa ulichomzushia hakina ukweli wowote, basi ni vizuri kuiomba msamaha familia yake ili kuwaondoa ile kumbukumbu mbaya walionayo kichwani mwao kuhusu uzushi uliomzushia ndugu au baba yao.

Kwenda kujing'ang'aniza kutoa machozi ili kuwahadaa baadhi ya watu wasiozijua nguzo za siasa nilizozitaja hapo juu, haitasaidia kuondoa dhana mbaya walizonazo watoto wa marehemu.

Nafikiri toka zamani kiongozi wetu alikuwa anataka Lowasa na yeye achomwe moto kama wanavyochomwa vibaka, ila Mungu hakuruhusu hilo litokee kamwe.

Picha zinaeleza kila kitu, na bahati nzuri mwenyewe anakiri kuwa kuna unafiki unafanyika msibani.
View attachment 2901449View attachment 2901450
RIP ndugu Edward Lowasa
Mbele yako, nyuma yetu.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Kwanza natoa pole kwa familia ya mzee wetu hayati Edward Lowasa kwa kuondokewa na kipenzi chao, natoa pole pia kwa watanzania wenzangu kwa kuondokewa na aliewahi kuwa waziri mkuu wetu hayati Edward Lowasa.

Ki ukweli huu msiba umewashtua wengi wakiwemo ndugu zake, marafiki zake na hata maadui zake. Hivyo haishangazi kuona kila mtu anauzungumzia msiba huu.

Lakini pamoja na yote kuna hili jambo la mtu ambae aliwahi kuonesha chuki za wazi kwa hayati Edward Lowasa enzi za uhai wake, eti leo anajifanya ni mwema wake na rafiki yake ambae ameguswa mno na kifo chake 😳😳.

Hivi umeshawahi kuona wapi mtu ambae anakuombea mabaya, siku ukiyapata hayo mabaya eti anakuja tena kusikitika. Huu kama sio unafiki ni nini!!

Sawa inafahamika vizuri kwamba nguzo kuu za siasa ni (1) uongo (2) unafiki (3) na uzushi. Lakini inapotokea pale uliemzushia jambo amefariki, huku ukiwa unajua kuwa ulichomzushia hakina ukweli wowote, basi ni vizuri kuiomba msamaha familia yake ili kuwaondoa ile kumbukumbu mbaya walionayo kichwani mwao kuhusu uzushi uliomzushia ndugu au baba yao.

Kwenda kujing'ang'aniza kutoa machozi ili kuwahadaa baadhi ya watu wasiozijua nguzo za siasa nilizozitaja hapo juu, haitasaidia kuondoa dhana mbaya walizonazo watoto wa marehemu.

Nafikiri toka zamani kiongozi wetu alikuwa anataka Lowasa na yeye achomwe moto kama wanavyochomwa vibaka, ila Mungu hakuruhusu hilo litokee kamwe.

Picha zinaeleza kila kitu, na bahati nzuri mwenyewe anakiri kuwa kuna unafiki unafanyika msibani.
View attachment 2901449View attachment 2901450
RIP ndugu Edward Lowasa
Mbele yako, nyuma yetu.
2015 mwamba alipasuka vibaya sana hela aliyotumia aisee we acha tu najua watu wake wa karibu waliumia sana.
 
Back
Top Bottom