kibla matata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2020
- 412
- 380
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
Mkuu pongezi kwako 🙏🙏🙏🙏👊👊👊👊👊👋👋👋👋👋 nashukuruh sana
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
Jaribu wimbo wa Mpongo Love unaitwa Ndaya.Ningependa kufahamu jina la wimbo pamoja na mwanamziki aloimba afro-zouk moja hv napata kaverse flan hv " ngayo naleliee eeeh eeh" ni mdada flan hv ss sema kwakweli nimeutafuta sn huo wimbo ni wa kitambo kidogo bila mafanikio yoyote, mwny kuufahamu tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha humjui mondi mzee.....?Kuna wimbo mmoja una vimbwagizo hivi
Oyaa wainue west
Chiiiii
Kill command
Sijui kaimba nan naomba mnisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
WasiraKuna wimbo miaka ya 2000 kuna binti hapa bongo simjui jina aliimba uliita "SHEILA", mnisaidie please
WIMBO WA BIZ MAN ISHARA YA UPENDO NIMEUPATA KWA KUSOTA SANA NA KWA KUUNUNUA ANAYEUTAKA TUTAFUTANE.
Hahaha humjui mondi mzee.....?
yess BiShoo haswaaAaa
The sound
Pamoja sana ndugu
Mimi jamani waungwana nitaftieni Simu ya Platnumz uloimbwa na dogo flani anaitwa Cylus kuna kipind alisukaga kiki ya kutoka na WolperHuu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
Nenda hapa ipo www.rubega.com