Escotter20
JF-Expert Member
- Jul 20, 2020
- 471
- 861
Yanga inapaswa kufikiria kuachana na Kennedy Musonda.
Tokea aje hapa nchini, Musonda hajatoa kile kilichotegemewa kwa 100%. Ni mchezaji mzuri sana, lakini yapo yanayofikirisha juu yake.
Musonda hana muendelezo mzuri. Ni michezo michache sana amecheza kwa kiwango cha juu, iliyosalia anakuwa wa kawaida tu au kushindwa kutoa kitu chenye tija.
Nadhani, Yanga SC inapaswa kufikiria kumleta mchezaji bora zaidi yake. Ili timu kama timu ipige hatua kwenda mbele. Sio dhambi. Al Ahly iliwasajili Ahmed Kendouci, Walter Bwalya, na wakawaondoa haraka.. baada ya kuonekana hawaisaidii timu kwenda mbele zaidi.
Yanga SC wanapaswa waangalie mchezaji bora zaidi ya Musonda. Ili aje akisogeze mbele kikosi kutoka hapa kilipo na kuwa tishio zaidi hapa AFRIKA.
Tokea aje hapa nchini, Musonda hajatoa kile kilichotegemewa kwa 100%. Ni mchezaji mzuri sana, lakini yapo yanayofikirisha juu yake.
Musonda hana muendelezo mzuri. Ni michezo michache sana amecheza kwa kiwango cha juu, iliyosalia anakuwa wa kawaida tu au kushindwa kutoa kitu chenye tija.
Nadhani, Yanga SC inapaswa kufikiria kumleta mchezaji bora zaidi yake. Ili timu kama timu ipige hatua kwenda mbele. Sio dhambi. Al Ahly iliwasajili Ahmed Kendouci, Walter Bwalya, na wakawaondoa haraka.. baada ya kuonekana hawaisaidii timu kwenda mbele zaidi.
Yanga SC wanapaswa waangalie mchezaji bora zaidi ya Musonda. Ili aje akisogeze mbele kikosi kutoka hapa kilipo na kuwa tishio zaidi hapa AFRIKA.