Baraka DSM
Member
- Sep 12, 2017
- 68
- 74
Habari waungwana!
Sisi tuliowapumzisha wapendwa wetu hivi karibuni makaburi ya Kinondoni tumeona ni jinsi gani ilivyo ngumu hata kupita katikati ya makaburi mengine. Kiufupi eneo lile limejaa halipaswi kuendelea kuwa sehem ya kupumzisha wapendwa wetu.
Ushauri wangu-
1. Serikali ifunge eneo Lile na kuwa makumbusho.
2. Serikali ipanue eneo kwa kuwalipia fidia majirani Ili lipatikane eneo kubwa zaidi la kuwapumzisha ndugu zetu. Kuanzia ghorofa la Abasi Tarimba kushuka mpaka chini walipwe fidia lipatikane eneo kubwa la kuzikia kwa miaka kumi ijayo.
Sisi tuliowapumzisha wapendwa wetu hivi karibuni makaburi ya Kinondoni tumeona ni jinsi gani ilivyo ngumu hata kupita katikati ya makaburi mengine. Kiufupi eneo lile limejaa halipaswi kuendelea kuwa sehem ya kupumzisha wapendwa wetu.
Ushauri wangu-
1. Serikali ifunge eneo Lile na kuwa makumbusho.
2. Serikali ipanue eneo kwa kuwalipia fidia majirani Ili lipatikane eneo kubwa zaidi la kuwapumzisha ndugu zetu. Kuanzia ghorofa la Abasi Tarimba kushuka mpaka chini walipwe fidia lipatikane eneo kubwa la kuzikia kwa miaka kumi ijayo.