Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 3,806
- 7,231
Sahihi kabisa,,,huo ni utaratibu wa kiislamuHizo ni taratibu za kiislam, hazimhusu mkriso kea namna yoyote ile.
Sahihi kabisa,,,huo ni utaratibu wa kiislamuHizo ni taratibu za kiislam, hazimhusu mkriso kea namna yoyote ile.
Hatakiwi mpaka huyo mkristo awe muislam yaani aslimEndapo Mkristo atataja Jina la Mwenyenzi Mungu Muislamu atakuwa huru kula?
kuwa serious basiJe Papuchi iliyopo kwenye mwili wa Mkristo wanakula?
asanteUtaratibu wa kuchinja tz uko pow wala hauna shida ndio maana hata waislam hununua nyama buchani
Mfano wako haupo mbwa aliwaSheria ya kiislam imeruhusu kiwindwa kuchinjwa baada ya kukimata. Unaweza kuwinda hata na mbwa, cha kuwinda hakihesabiki ni kibudu.
Hizo bidhaa huwa zinaandikwa HALAL,,zikimaanisha zimefuata sheria za kiislamuHilo liko wazi kwa hapa Tanzania. Ninachojiuliza tu ni huwa wanafanyaje pindi wawapo kwenye nchi zisizo na huo utaratibu?
Je, bidhaa imported zilizotokana na nyama kama soseji wanafanyaje?
UmepotoshaHakuna kitu maana Waislam, Wakristo na Wayahudi ni watu wa vitabu na wanaamini Mungu
Ukichukua kisu kikali na kumchinja shingoni moja kwa moja kwa kutamka kwa kuanza na jina la Mungu basi hiyo nyama wote wanaweza kula
Ila asiwe kibudu au kumuuwa kwa njia tofauti na hivyo
Dini sio ngumu hivyo kama ukisoma na sio vibaya kusoma na za wengine kuongeza maarifa
Ila naona kuna watu wanapotosha wakati sheria zipo
Hivi mkifika mahotelini huwa mnauliza aliyechinja ni wa dini ipi?Hapana Muislam haruhusiwi kula nyama ya mzoga au aliechinjwa kwa jina lisilokua la Mwenyezi Mungu.
Wapi imekatazwa nionyeshe kweny maandiko? Mzogo na kibudu ni haramuWaislam ni watu wa ajabu sana,wenyewe hawataki kula nyama iliyochinjwa na Mkristo,sasa sijui wanadhani wakristo ndio wanapenda kula mnyama aliye chinjwa na Muslims?
Hata wewe huwezi kula mzogo au kibudu acha kuleta mjadala , ishu ipo wazi hata kisayansi ,Hivi mkifika mahotelini huwa mnauliza aliyechinja ni wa dini ipi?
Jibu swali kwanza, mkienda hotelini kabla ya kuletewa MENU huwa mnauliza kwanza Mchinjaji ni wa dini ipi?Hata wewe huwezi kula mzogo au kibudu acha kuleta mjadala , ishu ipo wazi hata kisayansi ,
Nakuuliza wewe kibudu na mzogo ni halali kula? Hata wale hadzabe wanajua huu mzogo ni wa fisi na hiki ni kibuduJibu swali kwanza, mkienda hotelini kabla ya kuletewa MENU huwa mnauliza kwanza Mchinjaji ni wa dini ipi?
Kibudu ni nini? Naomba tuanzie hapoNakuuliza wewe kibudu na mzogo ni halali kula? Hata wale hadzabe wanajua huu mzogo ni wa fisi na hiki ni kibudu
Kiswahili hujui ? Maana sioni kama unaelewa kama hujui kasome.Kibudu ni nini? Naomba tuanzie hapo
kibudu ni mnyama aliyekufa ..Hakuna dini inayoruhusu kula kibudu wala wanyamapori labda Fisi tu.Kibudu ni nini? Naomba tuanzie hapo
Walawi 17: 15 “Tena kila mtu atakayekula NYAMAFU, au nyama aliyeraruliwa na wanyama, kama ni mzalia, kama ni mgeni, atafua nguo zake, na kuoga majini, naye atakuwa najisi hata jioni; ndipo atakapokuwa safi.
16 Lakini kwamba hazifui, wala haogi mwili, ndipo atakapochukua uovu wake”.
Unatakiwa umuwahi kumchinja kabla hajafa, hata hivyo kama muwindaji ni muislamu na alipiga Bismillah kabla ya kumtandika risasi huyo mnyama basi ni Hali kumlaJe ukimpiga risasi mnyama pori kama Mbogo akafa ndio ukachinja hii nayo ni kibudu ?.......maana kumpata akiwa hai ndio umkate shingo sio rahisi.
Kuheshimu imani ya mtu, hasa katika nchi isiyo na dini, ni suala nyeti sana. Ndiyo maana Watanzania wengi wanapotaka kufanya sherehe, kama si Waislamu, huhakikisha kuwa mchinjaji wa nyama itakayotumika ni Muislamu.
Lakini itakuwaje ikiwa wewe si Muislamu na ukatembelewa ghafla na rafiki Muislamu wakati unamla kuku uliyemchinja mwenyewe?
1. Utamkaribisha kujumuika nawe pamoja na kuwa unajua ulichinja bila kuzingatia imani ya Kiislamu?
2. Utamjulisha ukweli kuwa ulimchinja wewe mwenyewe ili aamue mwenyewe?
3. Utamwambia asubirie umwandalie cha kwake?
Upi utakuwa uamuzi wa busara?