Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Hahaha apo Sasa ndo unapoanza kutuchanganya ko waliotoka mwez wa tano ambao hawakwenda ndo watachukuliwa wale wale au kwa maana apa katikati sijaskia kutuma maombi
bogi la mwez wa 5 ambao wamemaliza juzi ilikuwa ni bogi la wale wa mafinga walioitwa waasi na madaktari na maengeneer waliobaki makutupora wengine waliongezewa tuu halikuwa likihusiana na maombi yale
 
bogi la mwez wa 5 ambao wamemaliza juzi ilikuwa ni bogi la wale wa mafinga walioitwa waasi na madaktari na maengeneer waliobaki makutupora wengine waliongezewa tuu halikuwa likihusiana na maombi yale
Ahaaaa apo nimeanza kukuelewa Sasa ko maombi Yale ndo mwezi ujao wanaanza kuitwa??
 
Back
Top Bottom