Ni kwamba serikali inadiscourage watu wasilipe huduma mtandaoni ?

Lavit

JF-Expert Member
May 16, 2011
13,353
27,771
Wakuu mwezi uliopita nilifanya malipo online kwa debit card ya equity, sasa leo kuna hela imechotwa kwenye account naambiwa ni mark-up fee!

Nimewapigia wanadai ni makato ya serikali ambayo ni 15%! Yaani wanamaanisha kwenye kila laki moja uwape 15k na kila milion uwape 150k! Mimi bado sijaelewa mantiki ya hii, kwanini waweke % zote hizi, kwani wakiweka 1-2 % watapungukiwa nini? Pengine lengo ni kupunguza hizi online payment, na bado ukinunua kitu kikija ndani wanataka kodi tena.

Hata hizo bei za huduma kama spotify nimeangali zina VAT ndani yake tayari, sasa markup fee ya nini?

Huu ubunifu wa CCM na kina Mwigulu sidhani kama una manufaa kwa ustawi wa wananchi kwa ujumla wake.
IMG_20240509_154040.jpg
 
Wakuu mwezi uliopita nilifanya malipo online kwa debit card ya equity, sasa leo kuna hela imechotwa kwenye account naambiwa ni mark-up fee!

Nimewapigia wanadai ni makato ya serikali ambayo ni 15%! Yaani wanamaanisha kwenye kila laki moja uwape 15k na kila milion uwape 150k! Mimi bado sijaelewa mantiki ya hii, kwanini waweke % zote hizi, kwani wakiweka 1-2 % watapungukiwa nini? Pengine lengo ni kupunguza hizi online payment, na bado ukinunua kitu kikija ndani wanataka kodi tena.

Hata hizo bei za huduma kama spotify nimeangali zina VAT ndani yake tayari, sasa markup fee ya nini?

Huu ubunifu wa CCM na kina Mwigulu sidhani kama una manufaa kwa ustawi wa wananchi kwa ujumla wake.View attachment 2985826
Ni mbinu ya kudhibiti pesa za kigeni nchini.
 
Wakuu mwezi uliopita nilifanya malipo online kwa debit card ya equity, sasa leo kuna hela imechotwa kwenye account naambiwa ni mark-up fee!

Nimewapigia wanadai ni makato ya serikali ambayo ni 15%! Yaani wanamaanisha kwenye kila laki moja uwape 15k na kila milion uwape 150k! Mimi bado sijaelewa mantiki ya hii, kwanini waweke % zote hizi, kwani wakiweka 1-2 % watapungukiwa nini? Pengine lengo ni kupunguza hizi online payment, na bado ukinunua kitu kikija ndani wanataka kodi tena.

Hata hizo bei za huduma kama spotify nimeangali zina VAT ndani yake tayari, sasa markup fee ya nini?

Huu ubunifu wa CCM na kina Mwigulu sidhani kama una manufaa kwa ustawi wa wananchi kwa ujumla wake.View attachment 2985826
Asante mkuu kwa kunifungua macho. Kuna miezi kadhaa nilikuwa natumia mastercard ya crdb lakini nilichokuwa nafanya ni kutransfer ela via airtel app kuja airtel money. Inapita muda nashangaa napokea msg mara nimekatwa 20,000 mara mbili. Nilipowapigia CRDB wakaniambia ni kodi ya serikali mimi kusema kweli sikuelewa na sikufuatilia sana. Ila toka nimeacha kufanay hivyo hawajakata sasa nimeunga dots nikaelewa kumbe lile hamisho lisilo ramsi lilikuwa linachukuliwa kama manunuzi wanalima kodi.
 
Serikali haitaki cashless transaction. Ndio maana kuna tozo za ajabu ajabu kwenye miamala ya online.

Unatuma hela inakatwa ukipokea kuitoa unakatwa ukifanya online unakatwa. Kukatwa katwa tu.
 
Serikali haitaki cashless transaction. Ndio maana kuna tozo za ajabu ajabu kwenye miamala ya online.

Unatuma hela inakatwa ukipokea kuitoa unakatwa ukifanya online unakatwa. Kukatwa katwa tu.
Serikali ina watu wenye mawazo ya kijima bado!
 
Yaani hapo nina uhakika ni akili ya watu hawa wafuatao. Kuna yule mzee anaitwa zungu, kuna nape, kuna Jr makamba, kuna mwana FA hawa ndio wamepitisha hili wazo.
 
Back
Top Bottom