Princess maryam
Member
- Mar 25, 2021
- 94
- 226
Habari zenu wanajamvi,
Naomba msaada kwa anayejua taratibu za kudai matunzo na huduma za mtoto kwa mwanaume aliyetelekeza mtoto, ambaye ni mwajiriwa wa serikali.
1. Je, stahiki hizi zinaweza kupatikatikana kwa kupitia mwajiri wake? Mfano kumuandikia mwajiri kwaajili ya madai ya matunzo ya mtoto?
2. Je, taratibu za kupata msaada kama huu ustawi wa jamii zikoje?
Mwenye ushauri wowote juu ya jambo hili nakaribisha tumsaidie rafiki yangu huyu aliyeachiwa mtoto ambaye kwa sasa ana umri wa miaka minne, na anaanza shule bila msaada wowote kutoka kwa baba yake ambaye ni mfanyakazi wa Wizara moja nyeti hapa nchini.
Naomba msaada kwa anayejua taratibu za kudai matunzo na huduma za mtoto kwa mwanaume aliyetelekeza mtoto, ambaye ni mwajiriwa wa serikali.
1. Je, stahiki hizi zinaweza kupatikatikana kwa kupitia mwajiri wake? Mfano kumuandikia mwajiri kwaajili ya madai ya matunzo ya mtoto?
2. Je, taratibu za kupata msaada kama huu ustawi wa jamii zikoje?
Mwenye ushauri wowote juu ya jambo hili nakaribisha tumsaidie rafiki yangu huyu aliyeachiwa mtoto ambaye kwa sasa ana umri wa miaka minne, na anaanza shule bila msaada wowote kutoka kwa baba yake ambaye ni mfanyakazi wa Wizara moja nyeti hapa nchini.