Sethshalom
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 582
- 1,001
Ndugu Israel walipigwa tena vibaya kiufupi walishindwa. Kujiuzulu kwa Ehud Olmert kunahusishwa na rushwa lakini pia kuingia kwenye uncalculated vita na Hezbollah. Nawashauri ndugu zangu someni, and don't rely on what we call official version always kujenga hoja, there is always the other side of the corner that is not said.Hiyo Google ni ya waarabu au ya mashariki?
Kama haina jeshi zuri mbona waarabu (waislamu) wameshindwa kuwaondoa waebrania kabisa na wasiwahi kurudi tena?
.
Palestina wanaramani yao inayoonyesha kuanzia mwaka 47 hadi sasa "eti" territory zao zilivyochukuliwa, nchi zote za kiislamu haziwataki waebrania na zinatamani sio tu waondoke waangamie kabisa.
.
Swali kama Hezbollah walishinda kwa hizo missiles mbona hawakutumia mbinu hizohizo waongeze na zingine wawamalize kabisa kama wanavyootaga?
The western media are being manipulated to suit their needs and objectives. Hivi mbona wanasema hospital zetu zimejaa wagonjwa wa Corona. Je ww ulishawaona? Israel is being overrated and is being used to suit interests of the western world. Kingine ni kwamba the real Jews siyo hawa wajinga wa Benjamin Netanyahu. Hawa ni mapandikizi na vibaka tu. The Israelis masses are really suffering in the hands of those goons leaders.
Nadhani was 2014 sikumbuki wali-swap 1 Israeli soldiers against 1400 Palestinian prisoners , wananchi wa Israel walilalamika sana kwamba uongozi wao unajali wanajeshi tu