Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

Hiyo Google ni ya waarabu au ya mashariki?
Kama haina jeshi zuri mbona waarabu (waislamu) wameshindwa kuwaondoa waebrania kabisa na wasiwahi kurudi tena?
.
Palestina wanaramani yao inayoonyesha kuanzia mwaka 47 hadi sasa "eti" territory zao zilivyochukuliwa, nchi zote za kiislamu haziwataki waebrania na zinatamani sio tu waondoke waangamie kabisa.
.
Swali kama Hezbollah walishinda kwa hizo missiles mbona hawakutumia mbinu hizohizo waongeze na zingine wawamalize kabisa kama wanavyootaga?
Ndugu Israel walipigwa tena vibaya kiufupi walishindwa. Kujiuzulu kwa Ehud Olmert kunahusishwa na rushwa lakini pia kuingia kwenye uncalculated vita na Hezbollah. Nawashauri ndugu zangu someni, and don't rely on what we call official version always kujenga hoja, there is always the other side of the corner that is not said.

The western media are being manipulated to suit their needs and objectives. Hivi mbona wanasema hospital zetu zimejaa wagonjwa wa Corona. Je ww ulishawaona? Israel is being overrated and is being used to suit interests of the western world. Kingine ni kwamba the real Jews siyo hawa wajinga wa Benjamin Netanyahu. Hawa ni mapandikizi na vibaka tu. The Israelis masses are really suffering in the hands of those goons leaders.

Nadhani was 2014 sikumbuki wali-swap 1 Israeli soldiers against 1400 Palestinian prisoners , wananchi wa Israel walilalamika sana kwamba uongozi wao unajali wanajeshi tu
 
Ndugu Israel walipigwa tena vibaya kiufupi walishindwa. Kujiuzulu kwa Ehud Olmert kunahusishwa na rushwa lakini pia kuingia kwenye uncalculated vita na Hezbollah. Nawashauri ndugu zangu someni, and don't rely on what we call official version always kujenga hoja, there is always the other side of the corner that is not said.

The western media are being manipulated to suit their needs and objectives. Hivi mbona wanasema hospital zetu zimejaa wagonjwa wa Corona. Je ww ulishawaona? Israel is being overrated and is being used to suit interests of the western world. Kingine ni kwamba the real Jews siyo hawa wajinga wa Benjamin Netanyahu.

Hawa ni mapandikizi na vibaka tu. The Israelis masses are really suffering in the hands of those goons leaders. Nadhani was 2014 sikumbuki wali-swap 1 Israeli soldiers against 1400 Palestinian prisoners , wananchi wa Israel walilalamika sana kwamba uongozi wao unajali wanajeshi tu
Ahahahaha! NI CHUKI TU na umezithibitisha mlijaribu kuzificha ila hatimae zimekuwa exposed.
.
Muislamu/Uislamu haviwezi kuwapenda Wayahudi hata kidogo.
Mmeshajua sasa Western media zinatulisha matango pori undeni zenu za kiarabu zizizidi nguvu zilizopo.
 
Sasa kumbe jibu unalo alafu unajaribu kulikataa?
sababu ni dini chuki ya waislamu dhidi ya Wayahudi na hii chuki roots zake ni Koran.
.
ndio maana hata vita za Israel huwa hazihusishi kwa sehemu kubwa Lebanon Army bali Israel against Hezbollah.
.
lebanon kumejaa waislamu, walebanon wakristo hawaishi Lebanon wanaishi mataifa mengine mfano Dk wangu pendwa kabisa Dr Paul Nassif.
We kichwa chako kigumu kuelewa,,nusu ya raia wa lebanon ni wakristo, hiyo ni moja,

Pili,Rais na mkuu wa majeshi ni christian,

Tatu, serikali inaundwa kwa baraza la mawaziri wengi wanatoka chama cha christian,
Hezbolah ni mshirika katika kuunda serikali ya lebanon na ina mawaziri 3.
 
Sasa mzee kama Google unaiita website unakataa hukusema wamefungia Internet wakati nilishaku-quote na huwezi futa dah!
.
Google sio website, Google ni search engine kama ilivyo Bing ya Microsoft ondoka nalo hili na ukajifunze zaidi.
Mkuu Mimi ni developer na huwezi hata mara moja kunambia nikajifunze nipo mbali na ni mfuatiliaji mzuri sana wa tech,
Nime master.
Php
Node.js for back end
React.js
React native for mobile application(iOS & Android)
Express
WordPress
WooComerce
Laravel
Vanilla js
Jquery
Html5
Css3
XML
Vanilla.js
Am a full stack developer, wanaojua programming wanaelewa hizo language zina kazi gani.
Usifikiri una chat na mtu asie jielewa.

Naijua tech vibaya mno, huwezi hata kusimama na mimi ukisema nikuulize maswali.

Google ni website
Google ni kampuni pia
Google website kazi yake ni Ku search same to bing and yahoo au torch kwa tunaoingia dark-web.
Google ni multi a technology company but I was talking about google website.

Basi search most visited website mtandaoni kama hutoikuta google.

Acha ujuaji kaka, halafu nilisema huduma za INTERNET, sio walizuia Internet, unabishana na developer kuhusu Google, we una akili wewe?
 
We kichwa chako kigumu kuelewa,,nusu ya raia wa lebanon ni wakristo,hiyo ni moja,
Pili,Rais na mkuu wa majeshi ni christian,
Tatu,serikali inaundwa kwa baraza la mawaziri wengi wanatoka chama cha christian,
Hezbolah ni mshirika katika kuunda serikali ya lebanon na ina mawaziri 3.
Huwezi nielewesha upuuzi mimi abdool.
 
Mkuu Mimi ni developer na huwezi hata mara moja kunambia nikajifunze nipo mbali na ni mfuatiliaji mzuri sana wa tech,
Nime master.
Php
Node.js for back end
React.js
React native for mobile application(iOS & Android)
Express
WordPress
WooComerce
Laravel
Vanilla js
Jquery
Html5
Css3
XML
Vanilla.js
Am a full stack developer, wanaojua programming wanaelewa hizo language zina kazi gani.
Usifikiri una chat na mtu asie jielewa.
Naijua tech vibaya mno, huwezi hata kusimama na mimi ukisema nikuulize maswali.

Google ni website
Google ni kampuni pia
Google website kazi yake ni Ku search same to bing and yahoo au torch kwa tunaoingia dark-web.
Google ni multi a technology company but I was talking about google website.

Basi search most visited website mtandaoni kama hutoikuta google.
Acha ujuaji kaka, halafu nilisema huduma za INTERNET, sio walizuia Internet, unabishana na developer kuhusu Google, we una akili wewe?
Ahahaha! Unaweza ku-program nini na HTML hata antivirus huwezi run 😝😝 hivyo vingine vyote wanasoma certificate huko.
ningekuuliza maswali mengi sana anzisha uzi jukwaa la tech nije nikuonyeshe kwanini watu tumeshachanganyikiwaga.
.
hapa tujikite na mada
 
Kwa nini Israel ilikubali matakwa ya Hezbollah baada ya vita tofauti na mwanzoni?
Nini kiliwafanya wabadili mawazo?
Uko biased
Israel hakukubali chochote toka hezbollah
2nd Levanon war iliingia katikati kabisa ya mji wa Beirut, sehemu kubwa ilikua "urban warfare" na madhara yaligeuka kuwa makubwa mno. Japo pia sikatai Israel ilipoteza askari na uharubifu kiasi

Kutokaba na uharibifu mkubwa Beirut na miji mingine, kelele za jumuia ya kimataifa ongezea kelele ndani ya Israel zililazimu UN kutengeneza green line kutenganisha Israel na Lebanon kukiwa na askari wake kulinda hilo eneo

Lebanon iliathirika vibaya mno, na haijawahi kukaa sawa hadi leo, lakiji pia Israel haikufanikiwa lengo lake

Nina submitt
 
Ndugu Israel walipigwa tena vibaya kiufupi walishindwa. Kujiuzulu kwa Ehud Olmert kunahusishwa na rushwa lakini pia kuingia kwenye uncalculated vita na Hezbollah. Nawashauri ndugu zangu someni, and don't rely on what we call official version always kujenga hoja, there is always the other side of the corner that is not said. The western media are being manipulated to suit their needs and objectives. Hivi mbona wanasema hospital zetu zimejaa wagonjwa wa Corona. Je ww ulishawaona? Israel is being overrated and is being used to suit interests of the western world. Kingine ni kwamba the real Jews siyo hawa wajinga wa Benjamin Netanyahu. Hawa ni mapandikizi na vibaka tu. The Israelis masses are really suffering in the hands of those goons leaders. Nadhani was 2014 sikumbuki wali-swap 1 Israeli soldiers against 1400 Palestinian prisoners , wananchi wa Israel walilalamika sana kwamba uongozi wao unajali wanajeshi tu
Tupia andiko lolote linaloonesha Israel alishindwa,
 
Mkuu Mimi ni developer na huwezi hata mara moja kunambia nikajifunze nipo mbali na ni mfuatiliaji mzuri sana wa tech,
Nime master.
Php
Node.js for back end
React.js
React native for mobile application(iOS & Android)
Express
WordPress
WooComerce
Laravel
Vanilla js
Jquery
Html5
Css3
XML
Vanilla.js
Am a full stack developer, wanaojua programming wanaelewa hizo language zina kazi gani.
Usifikiri una chat na mtu asie jielewa.
Naijua tech vibaya mno, huwezi hata kusimama na mimi ukisema nikuulize maswali.

Google ni website
Google ni kampuni pia
Google website kazi yake ni Ku search same to bing and yahoo au torch kwa tunaoingia dark-web.
Google ni multi a technology company but I was talking about google website.

Basi search most visited website mtandaoni kama hutoikuta google.
Acha ujuaji kaka, halafu nilisema huduma za INTERNET, sio walizuia Internet, unabishana na developer kuhusu Google, we una akili wewe?
Yooooote hayo halafu Google unaita website. Idiot.
 
Mh!! Wale wale!

Kwahiyo mshindi wa 2nd Lebanon war alikuwa Hezbollah? Rudi usome vizuri maandiko
Israel aliweza kuingia ndani kabisa ya Lebanon hadi mji mkuu wa Beirut, lengo kuimaliza Hezbollah. Ni kweli alipata losses kubwa kuliko 1st Lebanon war lakini hakushindwa.

Ni vile tu siasa za ndani za Israel, kelele za jumuia ya kimataifa na madhara ya vita viliifanya Israel iondoke ndani ya Lebanon bila kukamilisha mission yake. Ndo maana haichukuliwi kama ilishinda wala kushindwa.

Nakushauri usome maandishi bila bias, Iran team. Kwanza huwa nashangaa, kila muda Iran, ana nini zaidi ya pesa ya mafuta tu? Na bado hiyo pesa haijamsaidia kupata advanced weapons, atawatisha kina Yemen na Syria, not Israel

Soma vitabu na uandike facts sio ushabiki
@Bwana Utam hawezi kuelewa yeye anajua Hezbolla walishinda
 
We kichwa chako kigumu kuelewa,,nusu ya raia wa lebanon ni wakristo,hiyo ni moja,
Pili,Rais na mkuu wa majeshi ni christian,
Tatu,serikali inaundwa kwa baraza la mawaziri wengi wanatoka chama cha christian,
Hezbolah ni mshirika katika kuunda serikali ya lebanon na ina mawaziri 3.
Naona uelewa wako ni mdogo mno kuhusu middle east
Hezbollah sio serikali, ni kikundi mfano wa chama flani kinachoungwa mkono na kundi kubwa la Washia.

Hezbollah ni sehemu ya prox-wars zinazoongozwa na Iran dhidi ya Israel. Yaan Iran anadhamini vikundi vingi kugombana na Israel, mojawapo ni Hezbollah kwa upande wa Lebanon. Ni sawa na Houthi huko Yemen, Islamic Jihad huko Gaza etc

Kiufupi Hezbollah ni "nothing" zaidi ya kuonekana kikundi cha kigaidi kinachojificha kwenye migongo ya raia ili kujikinga na mashambulizi ya Israel. Israel haikupigana na jeshi la serikali bali kundi la Hezbollah
 
Naona uelewa wako ni mdogo mno kuhusu middle east
Hezbollah sio serikali, ni kikundi mfano wa chama flani kinachoungwa mkono na kundi kubwa la Washia.

Hezbollah ni sehemu ya prox-wars zinazoongozwa na Iran dhidi ya Israel. Yaan Iran anadhamini vikundi vingi kugombana na Israel, mojawapo ni Hezbollah kwa upande wa Lebanon. Ni sawa na Houthi huko Yemen, Islamic Jihad huko Gaza etc

Kiufupi Hezbollah ni "nothing" zaidi ya kuonekana kikundi cha kigaidi kinachojificha kwenye migongo ya raia ili kujikinga na mashambulizi ya Israel. Israel haikupigana na jeshi la serikali bali kundi la Hezbollah
Na kindi hilo likamtoa ngama
 
Uko biased
Israel hakukubali chochote toka hezbollah
2nd Levanon war iliingia katikati kabisa ya mji wa Beirut, sehemu kubwa ilikua "urban warfare" na madhara yaligeuka kuwa makubwa mno. Japo pia sikatai Israel ilipoteza askari na uharubifu kiasi

Kutokaba na uharibifu mkubwa Beirut na miji mingine, kelele za jumuia ya kimataifa ongezea kelele ndani ya Israel zililazimu UN kutengeneza green line kutenganisha Israel na Lebanon kukiwa na askari wake kulinda hilo eneo

Lebanon iliathirika vibaya mno, na haijawahi kukaa sawa hadi leo, lakiji pia Israel haikufanikiwa lengo lake

Nina submitt
Kwa nini US na rafiki zake walimpa ruhusa Israel ashambulie Lebanon, walikuwa hawajui madhara ya vita?
Kumbuka US na wenzake ndio wanachama wakubwa wa UN.

Kwa nini US ilikataa Palestine kuwa Taifa licha ya kura nyingi za wanachama wa umoja wa mataifa duniani kukubali Palestine iwe taifa, lakini US alitishia pia kutopeleka misaada UN.
Na walifanikiwa juu ya hilo.

Ninacho maanisha ni kwamba umoja wa mataifa hauna nguvu zaidi ya US na genge lake, wakiamua kuipiga Lebanon hakika hakuna ambaye atatoka na kuwapazia sauti waache eti kisa madhara ni makubwa.
Kichapo kikali toka kwa Hezbollah ndio kilipelekea US na genge lake kutumia mwavuli wa UN kuomba suluhisho.
US amesha ua sana mfano Libya, nani alitokea hapa Africa kulaani?
Tuliandamana kipindi madege ya NATO yanatoa dozi?
AU ililaani kwa wakati ule?

Mkuu acha siasa mambo yapo wazi, Israel imepiga mara ngapi waarabu middle east bila UN kuingilia sembuse vita ya 2006?
Can't be serious.
 
Kwa nini US na rafiki zake walimpa ruhusa Israel ashambulie Lebanon, walikuwa hawajui madhara ya vita?
Kumbuka US na wenzake ndio wanachama wakubwa wa UN.

Kwa nini US ilikataa Palestine kuwa Taifa licha ya kura nyingi za wanachama wa umoja wa mataifa duniani kukubali Palestine iwe taifa, lakini US alitishia pia kutopeleka misaada UN.
Na walifanikiwa juu ya hilo.

Ninacho maanisha ni kwamba umoja wa mataifa hauna nguvu zaidi ya US na genge lake, wakiamua kuipiga Lebanon hakika hakuna ambaye atatoka na kuwapazia sauti waache eti kisa madhara ni makubwa.
Kichapo kikali toka kwa Hezbollah ndio kilipelekea US na genge lake kutumia mwavuli wa UN kuomba suluhisho.
US amesha ua sana mfano Libya, nani alitokea hapa Africa kulaani?
Tuliandamana kipindi madege ya NATO yanatoa dozi?
AU ililaani kwa wakati ule?

Mkuu acha siasa mambo yapo wazi, Israel imepiga mara ngapi waarabu middle east bila UN kuingilia sembuse vita ya 2006?
Can't be serious.
Unazo takwimu za hii vita?? Jaribu kutuwekea walau kidogo kusapoti ushindi wa hezbollah, au andiko lolote linalosema hezbollah alishinda, hapo ntakubali bila shida.
Basena hivyo kwasababu hakuna kitu kama hicho, Israel "never and will never" submit to aterror group. Hezbollah alichakaa vibaya mno, kiasi cha kukubali kusaini makubaliano. Ntakuja na takwimu soon
 
Hezbollah walifanya ujinga mmoja tu, walitakuwa wapige mpaka tel aviv, hakuna cha kusikiliza cha po ya israel wala nini wangetwanga tu, hii ni po ya kinafiki kwa kuogopa madhara zaidi, walipaswa kupeleka hayo madhara na si kusikiliza hii po.

Ukifatilia madhara ya miundo mbinu unaona kabisa lebanon kuliharibiwa zaidi, sasa mnakubali vipikusimamisha vita kiboya, wangetwanga kwanza kule tel aviv halafu ndio wakubali mazungumzo, hapo wangekuwa wamepindua meza kibabe zaidi.
 
Hkika middle east kuna vikundi vingi ambavyo ni vi tiifu kwa Iran mojawapo ni Hezbollah kwa ujumla askari hao kwa ujumla katika vikosi hivyo ni zaidi ya 500,000.Hakika vita ikitokea na Iran ikavipa vifaa na mafunzo waliyowapatia Hezbollah, basi Israel itamalizwa na proxies kabla ya Iran yenyewe, kwani active personel Israel ni kama 170,000.
Hakika Israel itakuwa Ghost City.

Ilitakiwa iwe ghost city katika vita hii, kwa sasa hizi wa upande wa pili wana haki ya kusema hizi ni bla bla! Mie sikufirahishwa kusimama na kupew ushindi wa mezani, ilibidi wapige kwei kweli ile tel aviv iwe TELE MAJIVU(majivu tele)
 
Lengo lilikia ni kuachiliwa kwa wafungwa ingawaje mpaka leo heshima ipo coz makombora 500 kwa day moja sio mas-hara, alafu kila day ilikua yanazidi kusogea miji ya mbali, pia kumbuka ilikua ni piga nikupige
Hezbollah walifanya ujinga mmoja tu, walitakuwa wapige mpaka tel aviv, hakuna cha kusikiliza cha po ya israel wala nini wangetwanga tu, hii ni po ya kinafiki kwa kuogopa madhara zaidi, walipaswa kupeleka hayo madhara na si kusikiliza hii po.

Ukifatilia madhara ya miundo mbinu unaona kabisa lebanon kuliharibiwa zaidi, sasa mnakubali vipikusimamisha vita kiboya, wangetwanga kwanza kule tel aviv halafu ndio wakubali mazungumzo, hapo wangekuwa wamepindua meza kibabe zaidi.
 
Ilitakiwa iwe ghost city katika vita hii, kwa sasa hizi wa upande wa pili wana haki ya kusema hizi ni bla bla! Mie sikufirahishwa kusimama na kupew ushindi wa mezani, ilibidi wapige kwei kweli ile tel aviv iwe TELE MAJIVU(majivu tele)
Pia mkuu kumbuka kuwa kama hawa hawakuchezea kichapo inamaana kuwa mpaka leo wangelikua operation zao wanaendeleza maeneo ya Lebanon , lakini kama imefika mpaka Un kuingia kati inamaana something bad happened kwa hawa wayahudi
 
Back
Top Bottom