Ni figisu gani timu mwenyeji inaweza kufanya ili ishinde?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,450
13,140
Barani Afrika Waarabu na timu zao wamekuwa mabingwa wa kubuni figisu na wengine kuanza kuiga. Baadhi ya figisu zao ni kumulika wachezaji kwa Lasers, kuwasha myoshi uwanjani na kuwatumia vijana waokota mipira kufanya figisu.

Nafikiri ni wakati wa timu zetu nazo kuanza kuumiza kichwa na kubuni figisu. Mbali na zile figisu za mbumbumbu kuwasha moto uwanjani, ni figisu gani "halali" timu mwenyeji inaweza kufanya ili ishinde?
 
Barani Afrika Waarabu na timu zao wamekuwa mabingwa wa kubuni figisu na wengine kuanza kuiga. Baadhi ya figisu zao ni kumulika wachezaji kwa Lasers, kuwasha myoshi uwanjani na kuwatumia vijana waokota mipira kufanya figisu.

Nafikiri ni wakati wa timu zetu nazo kuanza kuumiza kichwa na kubuni figisu. Mbali na zile figisu za mbumbumbu kuwasha moto uwanjani, ni figisu gani "halali" timu mwenyeji inaweza kufanya ili ishinde?
Figisu number moja ujue mpira vinginevyo utapata tabu
 
Hakuna figisu nyingine zaidi ya kuwa na maandalizi ya timu kwa kufanya usajili wa kueleweka na kuhakikisha una timu bora. Mengine yanakuja hukohuko.

Tuache ushamba tucheze mpira mbona ulaya wanakichapa fresh
 
Barani Afrika Waarabu na timu zao wamekuwa mabingwa wa kubuni figisu na wengine kuanza kuiga. Baadhi ya figisu zao ni kumulika wachezaji kwa Lasers, kuwasha myoshi uwanjani na kuwatumia vijana waokota mipira kufanya figisu.

Nafikiri ni wakati wa timu zetu nazo kuanza kuumiza kichwa na kubuni figisu. Mbali na zile figisu za mbumbumbu kuwasha moto uwanjani, ni figisu gani "halali" timu mwenyeji inaweza kufanya ili ishinde?
Figisu ni kujenga timu bora. Uchawi kama wa Simba wala hausaidii kabisa
 
Figisu ni maandalizi ya timu. Kuna kitimu kilikua na slogan Kwa Mkapa hatoki mtu na ulozi wa kutosha.
Kili tandikwa goli tatubila apo kwa Mkapa.
Jamaa hawakuangalia cha uwenyeji wala ulozi, kalipewa mkong'oto wa uhakika.
Aahaaaa
 
Barani Afrika Waarabu na timu zao wamekuwa mabingwa wa kubuni figisu na wengine kuanza kuiga. Baadhi ya figisu zao ni kumulika wachezaji kwa Lasers, kuwasha myoshi uwanjani na kuwatumia vijana waokota mipira kufanya figisu.

Nafikiri ni wakati wa timu zetu nazo kuanza kuumiza kichwa na kubuni figisu. Mbali na zile figisu za mbumbumbu kuwasha moto uwanjani, ni figisu gani "halali" timu mwenyeji inaweza kufanya ili ishinde?
Ni kujipanga tu kwa mbinu bora, kikosi bora na ufundi, msimu uliopita Yanga alicheza na timu tatu za kiarabu lakini kashinda mechi mbili zote away na mechi moja kapoteza kutokana na kuzidiwa mbinu japo kimpira Yanga ilitawala.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom