NI aibu mkuu wa nchi kukimbia hoja za kikokotoo Mei mosi na kutuma wawakilishi, hili kwake ni mwiba siku inakuja

RWANDES

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,620
3,936
Kitendo cha mkuu wa nchi kukimbia sherehe za Mei mosi eti kwa sababu kikokotoo ni mwiba kwa wafanyakazi ajue kuwa hapo hajatibu chochote.

CCM katika zama hizi isiamini kushinda uchaguzi mkuu kwa njia ya WIZI, watu wamechoka na maisha haya siyo wafanyakazi siyo wananchi WA kawaida wanaona mambo mengi hayaendi hasa utolewaji WA huduma katika taasisi za Serikali kwa ujumla.

Mama awe makini na washauri wake akiacha Kila kitu ndiyo mzee ajue anaenda kujimaliza mwenyewe kwenye uchaguzi mkuu!

Kikokotoo ajue NI shida kubwa kwa wafanyakazi Hilo neno lake kuwa tunaenda kulitazama linaendelea kuligharimu taifa hadi Sasa maana hakuna kinachofanyiwa kazi, wengi tumeona taarifa ya CAG, wengi wanadunda na mamilion yamepigwa.
 
Kubalini ukweli. Kikokotoo ni kazi ya mikono ya Mwendazake. Mliishindwa kupambana naye leo mnataka kumwangushia Samia jumba bovu.

Magufuli ndiye alikopa kupindukia kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii mpaka ikafilisika.

Njia ya kuficha aibu ya kufilisika kwa mifuko hiyo akaamua kuiunganisha na kuleta mambo ya kikokotoo ili kuifanya mifuko hiyo iweze kujihimili.

Mnaposema Magufuli alifanya "mambo makubwa" mjue hayo mambo makubwa ndiyo yaliyoleta kikokotoo.

MSILALAMIKE!!
 
Kubalini ukweli. Kikokotoo ni kazi ya mikono ya Mwendazake. Mliishindwa kupambana naye leo mnataka kumwangushia Samia jumba bovu.

Magufuli ndiye alikopa kupindukia kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii mpaka ikafilisika.

Njia ya kuficha aibu ya kufilisika kwa mifuko hiyo akaamua kuiunganisha na kuleta mambo ya kikokotoo ili kuifanya mifuko hiyo iweze kujihimili.

Mnaposema Magufuli alifanya "mambo makubwa" mjue hayo mambo makubwa ndiyo yaliyoleta kikokotoo.

MSILALAMIKE!!
Kwani Nchi nyingine hazina hicho Kikokotoo?
 
Kubalini ukweli. Kikokotoo ni kazi ya mikono ya Mwendazake. Mliishindwa kupambana naye leo mnataka kumwangushia Samia jumba bovu.

Magufuli ndiye alikopa kupindukia kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii mpaka ikafilisika.

Njia ya kuficha aibu ya kufilisika kwa mifuko hiyo akaamua kuiunganisha na kuleta mambo ya kikokotoo ili kuifanya mifuko hiyo iweze kujihimili.

Mnaposema Magufuli alifanya "mambo makubwa" mjue hayo mambo makubwa ndiyo yaliyoleta kikokotoo.

MSILALAMIKE!!
kiwake tu
 
Mama asiwaamini hao watu wake 2025 hatoamini mambo yatakavuobadilika hii nchi si ya kundi la watu wachache la kupeana vyeo huku kazi hamna wengine wakilia /
Mafao kwa wenza wastaafu viongozi wa juu raisi makamu spika na waziri mkuu
Wabunge kulipwa stahiki zao zote
Walimu polisi daktari n.k.kikokotoo hao kwamba wao niwa kunyonywa Kila kitu
Madeni ya wafanyakazi viongozi kulipa kwa kujisikia.
Ccm mnaamini mnahatimiliki ya kuamua Kila kitu kwenye nchi hii huyu awe mkuu wa nchi huyu awe hivi huyu hapana tena kwa njia isiyo Halali ya kutumia Dola kumbukeni kuwa hata waliomo kwenye dola hivohovo NI wafanyakazi wana ndugu Jamaa na marafiki wanaoumizwa kutokana na mnayoyafanya badilikeni acheni kuishi katika zama hizi mjuwe wasomi NI wengi katika nchi hii hawaongei lakini wanaona mnachofanya katika taifa hili .
 
Kitendo cha mkuu wa nchi kukimbia sherehe za mei mosi eti kwa sababu kikokotoo NI mwiba kwa wafanyakazi ajue kuwa hapo hajatibu chochote / ccm katika zama hizi isiamini kushinda uchaguzi mkuu kwa njia ya WIZI, watu wanechoka na maisha haya siyo wafanyakazi siyo wananchi WA kawaida wanaona mambo mengi hayaendi hasa utolewaji WA huduma katika taasisi za serikali kwa ujumla.
Mama awe makini na washauri wake akiacha Kila kitu ndiyo mzee ajue anaenda kujimaliza mwenyewe kwenye uchaguzi mkuu !

Kikokotoo ajue NI shida kubwa kwa wafanyakazi Hilo neno lake kuwa tunaenda kulitazama linaendelea kuligharimu taifa hadi Sasa maana hakuna kinachofanyiwa kazi wengi tumeona taarifa ya CAG wengi wabadunda na mamilion yamepigwa.
Aliyemshauri Samia kufanya hivi hamtakii mema. Ni dhahiri uwezo wake wa kuhimiri magumu ni mdogo, hatoshi.
 
Kitendo cha mkuu wa nchi kukimbia sherehe za mei mosi eti kwa sababu kikokotoo NI mwiba kwa wafanyakazi ajue kuwa hapo hajatibu chochote / ccm katika zama hizi isiamini kushinda uchaguzi mkuu kwa njia ya WIZI, watu wanechoka na maisha haya siyo wafanyakazi siyo wananchi WA kawaida wanaona mambo mengi hayaendi hasa utolewaji WA huduma katika taasisi za serikali kwa ujumla.
Mama awe makini na washauri wake akiacha Kila kitu ndiyo mzee ajue anaenda kujimaliza mwenyewe kwenye uchaguzi mkuu !

Kikokotoo ajue NI shida kubwa kwa wafanyakazi Hilo neno lake kuwa tunaenda kulitazama linaendelea kuligharimu taifa hadi Sasa maana hakuna kinachofanyiwa kazi wengi tumeona taarifa ya CAG wengi wabadunda na mamilion yamepigwa.
Hivi yuko wapi? halafu mu asema tuna rais kweli? johnthebaptist
 
Kitendo cha mkuu wa nchi kukimbia sherehe za mei mosi eti kwa sababu kikokotoo NI mwiba kwa wafanyakazi ajue kuwa hapo hajatibu chochote / ccm katika zama hizi isiamini kushinda uchaguzi mkuu kwa njia ya WIZI, watu wanechoka na maisha haya siyo wafanyakazi siyo wananchi WA kawaida wanaona mambo mengi hayaendi hasa utolewaji WA huduma katika taasisi za serikali kwa ujumla.
Mama awe makini na washauri wake akiacha Kila kitu ndiyo mzee ajue anaenda kujimaliza mwenyewe kwenye uchaguzi mkuu !

Kikokotoo ajue NI shida kubwa kwa wafanyakazi Hilo neno lake kuwa tunaenda kulitazama linaendelea kuligharimu taifa hadi Sasa maana hakuna kinachofanyiwa kazi wengi tumeona taarifa ya CAG wengi wabadunda na mamilion yamepigwa.
Sikujua ni muoga hivi. Huyu Hawezi kuwa Amiri Jeshi Kwenye nchi yenye vita Mwezi mmoja forget. Atakimbilia kwao Uarabuni
 
Kubalini ukweli. Kikokotoo ni kazi ya mikono ya Mwendazake. Mliishindwa kupambana naye leo mnataka kumwangushia Samia jumba bovu.

Magufuli ndiye alikopa kupindukia kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii mpaka ikafilisika.

Njia ya kuficha aibu ya kufilisika kwa mifuko hiyo akaamua kuiunganisha na kuleta mambo ya kikokotoo ili kuifanya mifuko hiyo iweze kujihimili.

Mnaposema Magufuli alifanya "mambo makubwa" mjue hayo mambo makubwa ndiyo yaliyoleta kikokotoo.

MSILALAMIKE!!

Kushindwa kujibu matatizo kwa utetezi kuwa tatizo lilisababishwa na viongozi waliotangulia ni udhaifu mkubwa.

Kushindwa kutatua tatizo la kikokotoo, anasingiziwa Hayati Magufuli. Haya tukubaliane kuwa kikokotoo kililetwa na Hayati Magufuli akisaidiwa na Samia kama mshauri wake wa karibu. Je, kukiondoa amezuia marehemu?

Kushindwa kutatua muundo Muungano, wanasingiziwa Hayati Nyerere na Hayati Karume. Tukubaliane kuwa walifanya makosa katika kutengeneza muundo wa Muungano. Je, na kuyarekebisha hayo makosa wamezuia Hayati Nyerere na Hayati Karume?

Kwenye performance, tunasema, a poor performer always will have a reason why it can not be done. A good performer always will have a reason why it can be done.
 
Kitendo cha mkuu wa nchi kukimbia sherehe za mei mosi eti kwa sababu kikokotoo NI mwiba kwa wafanyakazi ajue kuwa hapo hajatibu chochote / ccm katika zama hizi isiamini kushinda uchaguzi mkuu kwa njia ya WIZI, watu wanechoka na maisha haya siyo wafanyakazi siyo wananchi WA kawaida wanaona mambo mengi hayaendi hasa utolewaji WA huduma katika taasisi za serikali kwa ujumla.
Mama awe makini na washauri wake akiacha Kila kitu ndiyo mzee ajue anaenda kujimaliza mwenyewe kwenye uchaguzi mkuu !

Kikokotoo ajue NI shida kubwa kwa wafanyakazi Hilo neno lake kuwa tunaenda kulitazama linaendelea kuligharimu taifa hadi Sasa maana hakuna kinachofanyiwa kazi wengi tumeona taarifa ya CAG wengi wabadunda na mamilion yamepigwa.
Screenshot_2024-05-03-10-56-19-1.png
 
Back
Top Bottom