Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,094
Kumekuwa na tabia iliyojizolea umaarufu kwa wahitimu wakimaliza vyuo wanarudi nyumbani na kushinda mitaani / mitandaoni bila shughuli maalum ya kuwafanya wajitegemee, muda huwa hausimami miaka inaenda unakuta mhitimu anagonga 28+ bado yupo kwao
Wengi huwa wanaona njia pekee ya kujitegemea ni kuajiriwa, hawapo tayari kufanya shughuli zingine utawasikia "nimeshatuma maombi ya kazi flani nasubiria interview", matokeo yake miaka inaenda mtu yupo kwao.
Shughuli nyingi wanazofanya Darasa la 7 / Form 4 hata wahitimu wanaziweza, ingekuwa vyema wahitimu waanze kujitafuta huku mapema,
Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa kuchoma mahindi , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?
Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa kunyoa , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?
Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa umama / ubaba ntilie , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?
Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa useremala , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?
Wengi huwa wanaona njia pekee ya kujitegemea ni kuajiriwa, hawapo tayari kufanya shughuli zingine utawasikia "nimeshatuma maombi ya kazi flani nasubiria interview", matokeo yake miaka inaenda mtu yupo kwao.
Shughuli nyingi wanazofanya Darasa la 7 / Form 4 hata wahitimu wanaziweza, ingekuwa vyema wahitimu waanze kujitafuta huku mapema,
Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa kuchoma mahindi , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?
Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa kunyoa , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?
Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa umama / ubaba ntilie , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?
Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa useremala , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?