Ni aibu Graduate wengi kumaliza chuo hawezi kujitegemea. Nashauri wasipewe vyeti hadi kuwe na ushahidi wa kujitegemea

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,094
Kumekuwa na tabia iliyojizolea umaarufu kwa wahitimu wakimaliza vyuo wanarudi nyumbani na kushinda mitaani / mitandaoni bila shughuli maalum ya kuwafanya wajitegemee, muda huwa hausimami miaka inaenda unakuta mhitimu anagonga 28+ bado yupo kwao

Wengi huwa wanaona njia pekee ya kujitegemea ni kuajiriwa, hawapo tayari kufanya shughuli zingine utawasikia "nimeshatuma maombi ya kazi flani nasubiria interview", matokeo yake miaka inaenda mtu yupo kwao.

Shughuli nyingi wanazofanya Darasa la 7 / Form 4 hata wahitimu wanaziweza, ingekuwa vyema wahitimu waanze kujitafuta huku mapema,

Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa kuchoma mahindi , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?

Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa kunyoa , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?

Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa umama / ubaba ntilie , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?

Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa useremala , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?
 
Huyo hopeless kama kun chuo alisoma hata kama ni VETA kifutiwe usajili kumpa bwege kama huyo iwe certificate, diploma au digrii

Chuo alichosoma kifutiwe usajili haraka iwezekanavyo
Kifutiwe usajili kwa mantiki gani??
 
Mtoa mada upo sawa mno. Ila watakuja kwa kivuli cha mitaala yetu haifundishi kujitegemea nk .
Lakini ukweli usemwe hawa wahitimu wa vyuo vikuu ni vilaza na vimeo sana huku kitaa. hawana msaada wowote hadi hap nyumbani kwao... mbuge kishimba aliwahi kusema haya kuwa mwanachuo hana faida anazidiwa na mhitimu wa darasa la saba
 
Kumekuwa na tabia iliyojizolea umarufu kwa wahitimu wakimaliza vyuo wanarudi nyumbani na kushinda mitaani / mitandaoni bila shughuli maalum ya kuwafanya wajitegemee.

yani hawana shughuli za kujitegemea na muda huwa hausimami miaka inaenda unakuta mhitimu anagonga 28+ bado yupo kwao

Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa kuchoma mahindi , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?

Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa kunyoa , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?

Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa umama / ubaba ntilie , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?

Darasa la 7 / Form 4 anajitegemea kwa useremala , inakuwaje muhitimu anabaki kwao wakati nae anaweza ?

Nashauri Graduates wewe wanapewa tu Transcripts ama copy za vyeti ila sio vyeti halisi mpaka ithibitike wanaweza kujitegemea.
Wewe kijana elimu yako ni ya kiwango gani ?
 
Mtoa mada upo sawa mno. Ila watakuja kwa kivuli cha mitaala yetu haifundishi kujitegemea nk .
Lakini ukweli usemwe hawa wahitimu wa vyuo vikuu ni vilaza na vimeo sana huku kitaa. hawana msaada wowote hadi hap nyumbani kwao... mbuge kishimba aliwahi kusema haya kuwa mwanachuo hana faida anazidiwa na mhitimu wa darasa la saba
Wewe elimu yako ni ya kiwango gani ?
 
Back
Top Bottom