Teknocrat

JF-Expert Member
Oct 20, 2018
3,822
8,493
Nyota huyo wa zamani wa Santos FC, anayetambuliwa kama mmoja wa Wanasoka bora zaidi wakati wote, alilazwa hospitalini tangu Novemba 29, 2022 huko Sao Paulo

Ripoti ya utabibu kabla ya Krismasi ilionyesha alihitaji uangalizi kwa ajili ya ugonjwa wa moyo na figo, na amekuwa akipambana na saratani ya utumbo tangu Septemba 2021

Pele (82) ambaye jina lake halisi ni Edson Arantes do Nascimento alianza kuichezea Santos akiwa na miaka 15 na timu ya taifa mwaka mmoja baadaye, na kucheza Kombe la Dunia la 1958 akiwa na miaka 17

Wakati wa uchezaji wake wa Kimataifa, alishinda Kombe la Dunia mara tatu - mnamo 1958, 1962 na 1970 huku akiwa ni mchezaji pekee aliyefanikisha hili.

24E8B9E0-DC5D-4752-9503-BCE11387ECC4.jpeg
===

Brazilian football star Pele has died at the age of 82, his agent has told the Associated Press.

The former Santos FC star, widely regarded as one of the greatest footballers of all time, had been at the Albert Einstein Israelite Hospital in Sao Paulo since 29 November.

A medical report just before Christmas showed that he needed care for cardiac and renal dysfunction, having been battling colon cancer since September 2021.

Pele - originally named Edson Arantes do Nascimento - began playing for Santos at the age of 15 and the Brazilian national team a year later, bursting onto the world football scene as a 17-year-old in the 1958 World Cup.

During his international career, he won three World Cups - in 1958, 1962 and 1970 - the only player to achieve this.

His role in Brazil's third victory, in Mexico in 1970, has gone down in football folklore, as he played a key role in arguably the sport's greatest ever international team.

His glittering 20-year career from 1957 to 1977 saw him score 757 goals in 831 games, although Santos claim his tally was closer to 1,000.
 
Brazilian legend Pelé has passed away at 82, one of the greatest of all time who changed the game.

A man with a god-given talent, one of the names who will remain forever in the memory.

All thoughts with the family.

RIP, legend 🕊️
Sources pls!!!!
 
Back
Top Bottom