RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 3,599
- 8,553
NEC nihalali mgombea kujitangaza kapita bila kupingwa kabla hajathibitishwa na tume?
Tumeona Clouds FM & tv wakiadhibiwa kwa kutangaza matokeo kabla yakuthibitishwa na tume.
Je, ni halali kwa mgombea kujitangaza kashinda kabla hajathibitishwa na tume? Na hata uamuzi wa mapingamizi haujatolewa? Hii sio uchochezi kwa wapiga kura nakuleta taharuki katika jamii?
Nilitegemea pia police wamkamate nakumfungulia kesi ya uchochezi. Vipi leo Zitto &Mbowe wajitangaze wamepita kabla ya matokeo ya tume, hawatoadhibiwa na tume na kufunguliwa kesi ya za uchochezi?
Nategemea kama tume inatenda haki kumchukulia hatua kali Babu Tale hata kumuengua katika kinyang'anyiro ili kulinda sheria na taratibu za tume.
Note:
Maalim Seif alifutiwa matokeo 2015 baada yakujitangaza mshindi kabla ya tume haijatangaza matokeo.
Tumeona Clouds FM & tv wakiadhibiwa kwa kutangaza matokeo kabla yakuthibitishwa na tume.
Je, ni halali kwa mgombea kujitangaza kashinda kabla hajathibitishwa na tume? Na hata uamuzi wa mapingamizi haujatolewa? Hii sio uchochezi kwa wapiga kura nakuleta taharuki katika jamii?
Nilitegemea pia police wamkamate nakumfungulia kesi ya uchochezi. Vipi leo Zitto &Mbowe wajitangaze wamepita kabla ya matokeo ya tume, hawatoadhibiwa na tume na kufunguliwa kesi ya za uchochezi?
Nategemea kama tume inatenda haki kumchukulia hatua kali Babu Tale hata kumuengua katika kinyang'anyiro ili kulinda sheria na taratibu za tume.
Note:
Maalim Seif alifutiwa matokeo 2015 baada yakujitangaza mshindi kabla ya tume haijatangaza matokeo.