Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,539
Uchawi upo au haupo ?
Umeshawahi kurogwa ?
Umewahi kwenda kwa sangoma kurekebisha mambo ?
Najibu kaa nayo tu moyoni mwako maana hayanihusu na sio kusudio langu la kuanzidha mada
Binafsi siamini katika uchawi na ushirikina.....kama kweli watu wanajua kuroga basi wapige tunguli huu uzi maandishi yawe ya rangi nyeupe au wabadili makaratasi yawe pesa ili tuondokane na hsli ngumu ya maisha
Tupo karne ya 21 ya sayabsi na teknolojia lakini kuna nzhi kibao bado zipo kwenye giza la ushirikina
................................................................
10/Saudi Arabia
Ulifikiri washirikina wapo barani Afrika pekee ? ..........Umepotea....
Waarabu wa Asia nao wamo kwenye fani hii ya kufanyizisna kwa kupigiana matunguli
Kutokana na kukithiri kwa uchawi wa watu kuwangianausiku matako wazi serikali ya Saudi Arabia ikaona isiwe tabu ikaanzisha kitengo Anti--witchcraft Unit maalum kusaka wachawi
Ukishikwa unajihusisha na uchawi adhabu yake ni kuchinjwa hadharani au kutupwa jela
Wachawi wakuu nchini Saudia ni wanawake
Naishia hapa tu maana nasikia kwao hata alnadir wanaifanya kishirikina ............Believe me or NOT
Umeshawahi kurogwa ?
Umewahi kwenda kwa sangoma kurekebisha mambo ?
Najibu kaa nayo tu moyoni mwako maana hayanihusu na sio kusudio langu la kuanzidha mada
Binafsi siamini katika uchawi na ushirikina.....kama kweli watu wanajua kuroga basi wapige tunguli huu uzi maandishi yawe ya rangi nyeupe au wabadili makaratasi yawe pesa ili tuondokane na hsli ngumu ya maisha
Tupo karne ya 21 ya sayabsi na teknolojia lakini kuna nzhi kibao bado zipo kwenye giza la ushirikina
................................................................
10/Saudi Arabia
Ulifikiri washirikina wapo barani Afrika pekee ? ..........Umepotea....
Waarabu wa Asia nao wamo kwenye fani hii ya kufanyizisna kwa kupigiana matunguli
Kutokana na kukithiri kwa uchawi wa watu kuwangianausiku matako wazi serikali ya Saudi Arabia ikaona isiwe tabu ikaanzisha kitengo Anti--witchcraft Unit maalum kusaka wachawi
Ukishikwa unajihusisha na uchawi adhabu yake ni kuchinjwa hadharani au kutupwa jela
Wachawi wakuu nchini Saudia ni wanawake
Naishia hapa tu maana nasikia kwao hata alnadir wanaifanya kishirikina ............Believe me or NOT