Nimeshitakiwa kwa makosa ya kuwazuia TRA. Kufanya kazi yao na pia kuhari mali ya serikali ambayo ni gari, inayodaiwa kupigwa kwa mawe japo haijapasuka hata kio ila pia wakati tukio limetendeka sikuwepo eneo la tukio. Nimekutana na opereshen ya kamata kamata iliyokuwa ikiendelea nami nikaingizwa humo. Msaada wakuu namna ya kujitetea mahakamani