Wakuu salama, nimebanwa katika mihangaiko ya kutafuta pesa imebid niuze asset zangu ikiwo kiwanja. Urefu mita 30, upana mita30.
Nilishaweka trip 6 mchanga, trip 11mawe lakini naona niende ulaya kwanza nitajenga nikirudi.
Kiwanja kiko mita chache toka barabRa ya Buswelu-Kahama, next to me ni uwanja wa mh Mbunge Angelina Mabula. Kimepimwa, bei ni pomoja na matarials, karibu nikakuoneshe
Eneo ni karibu na amenities zote
Kwa mawasiliano 0756 984898
SIPUNGUZI HATA SH MOJA, serious buyers only. Kiwanja ni cha kwangu 100% hakuna dalali wala dalalu
Nilishaweka trip 6 mchanga, trip 11mawe lakini naona niende ulaya kwanza nitajenga nikirudi.
Kiwanja kiko mita chache toka barabRa ya Buswelu-Kahama, next to me ni uwanja wa mh Mbunge Angelina Mabula. Kimepimwa, bei ni pomoja na matarials, karibu nikakuoneshe
Eneo ni karibu na amenities zote
Kwa mawasiliano 0756 984898
SIPUNGUZI HATA SH MOJA, serious buyers only. Kiwanja ni cha kwangu 100% hakuna dalali wala dalalu