Habari ndugu zangu.
Poleni na majukumu.
Ninauza meza 3 za ofisini, zote zimetengenezwa kwa mbao ni imara na zipo vizuri tu. Kuna mradi nilipaswa kufanya ila mambo yakaingiliana.
Meza 2 nimezibananisha hapo ni za wafanyakazi zina droo zake hapo hapo.
Meza moja ni ya mapokezi.
Zote kwa ujumla ninauza Laki 5 (TSH 500,000)
Zipo Chanika, Dar Es Salaam
Mawasiliano
+255 742 031 321 (WhatsApp/SMS)
Karibuni.View attachment 2989333View attachment 2989334View attachment 2989337View attachment 2989335View attachment 2989336View attachment 2989338View attachment 2989339View attachment 2989340
Poleni na majukumu.
Ninauza meza 3 za ofisini, zote zimetengenezwa kwa mbao ni imara na zipo vizuri tu. Kuna mradi nilipaswa kufanya ila mambo yakaingiliana.
Meza 2 nimezibananisha hapo ni za wafanyakazi zina droo zake hapo hapo.
Meza moja ni ya mapokezi.
Zote kwa ujumla ninauza Laki 5 (TSH 500,000)
Zipo Chanika, Dar Es Salaam
Mawasiliano
+255 742 031 321 (WhatsApp/SMS)
Karibuni.View attachment 2989333View attachment 2989334View attachment 2989337View attachment 2989335View attachment 2989336View attachment 2989338View attachment 2989339View attachment 2989340