Naunga mkono hoja ya Mbunge wa Chadema aliyo itoa leo Mei 6 wakati akouliza swali Bungeni. Kuwa Watuhumiwa wa makosa ya Ubakaji wasipewe dhamana.
Kwalweli watuhumiw wa ubakaji hawana tofauti na wauaji hivyo hawastahili kupewa dhamana.
Tunaziomba mahakama zetu zisiwape dhamana watuhumiwa wa ubakaji.
Wabakaji wakinyimwa dhamana huenda kesi haziwezi kuharibiwa.
Kwalweli watuhumiw wa ubakaji hawana tofauti na wauaji hivyo hawastahili kupewa dhamana.
Tunaziomba mahakama zetu zisiwape dhamana watuhumiwa wa ubakaji.
Wabakaji wakinyimwa dhamana huenda kesi haziwezi kuharibiwa.