Za barabarani zenyewe ataachiwa kama ni kimeo ,ila ikiwa haina shida wakazi wa kule ngumu kuachia ardhilabdaa za barabaran utaxipata mkuu ukumbuke mtr zaoo zinakuhusu wakija wenye ardhiizaoo
Wameanza tabia zao kama za Moshi hawa watu. Ule mji kule hadi umedoda sababu ya ubishi na roho mbaya ya kutotaka kuuza ardhi kwa wageni matokeo yake watu wamekimbia mji ule hauna tena mzunguko mzuri wa pesa na biashara.Morogoro road ukamvue eneo mchaga